SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

Kama mashabiki wa timu ya simba wangekuwa wanajua kazi na majukumu ya PR na anachofanya Manara wangekuwa wameshaandamana kumzuia asiendelee kuonekana kwenye ofisi za simba.
Teh teh teh teh we jamaa bhana huenda uko sawa ila Manara anaweza akawa sehemu ndogo sana ya tatizo (kama ni kweli) ila shida ya Simba ni zaidi ya hapo na asilimia kubwa ni Mwalimu, benchi la ufundi na kikosi chenyewe.
 
Ndo ujishangae, ulifeli la saba unamcheka aliyefeli form 4.
Hahaaa. Ikiwa wa form 4 naye kafeli kutokana na tambo zake unaachaje kumcheka sasa. Mana mwisho wa siku tunakuwa hali moja tu.

Au ndio unajipa matumaini ya mshindi wa tatu japo usishangae huyu mdudu akawaandama mpaka huko.
 
Hahaaa. Ikiwa wa form 4 naye kafeli kutokana na tambo zake unaachaje kumcheka sasa. Mana mwisho wa siku tunakuwa hali moja tu.

Au ndio unajipa matumaini ya mshindi wa tatu japo usishangae huyu mdudu akawaandama mpaka huko.

Mpaka hapa tuna dola za kimarekani 5,000.

Nyie mmeambulia kushiriki.
 
Back
Top Bottom