SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Naomba kufahamu mechi ya Simba na Bandari ianchezwa saa ngapi....tukapozee machungu !
 
Kikosi cha simba
download.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inshaallah! Mnyama leo atatinga fainali kwa kishindo
 
Hii mechi kwa heshima ya mabingwa wa nchi na wawakilishi pekee wa Afrika mashariki kwenye hatuza za makundi CAF ilistahili ichezwe kuanzia saa 10 jioni.
 
Back
Top Bottom