SportsPesa Cup: Yanga 2 - 3 Kariobang Shark

Pole sana aisee. Nikajua moyo wako ni wa Plastick basi. πŸ™ˆπŸ™ˆ

Kabiiisaaa hapa tunaganga yajayo. Vp lakini jioni na nyie mnacheza unaniaminishaje?
Kama unavyojua Simba akiwa uwanjani wa Taifa kazi ni moja tu USHINDI USHINDI USHINDI
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nilichukia. Usinikumbushe Sapta. πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
Daaah pole mtani wakati mwingine ukiangalia mpira unatakiwa Kuwa na roho ngumu sana maana hujui kitatokea nini ila tuko pamoja mtani wangu.
 
Ni udhaifu wa ligi yetu, Eti timu inayoongoza ligi kutolewa kwenye michuano na timu ya tano huko kenya
Taifa la watu wavivu wavivu tu wa kimwili na kifikra
 
Reactions: Tui
Na bado tunangojea bakora. Kindoki kipenzi cha Zahera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…