Spotify. Hii app ni Noma

Ukifuata maelekezo hapo juu hautahitaji kujua VPN ni nini. Ila ukikwama mahali nijulishe humu nitakuelekeza
Kwenye pc haina restriction sana na waweza chagua nyimbo yoyote bila unlimited choice...Mimi kwenye simu naona walinistukia wakablock account Yangu wakaniambia hadi nirudi kwetu(marekani)ndo itakubali...nlijaribu kwa vpn ikazingua..

Mwaka wa tatu hii naitumia na ni Bonge LA app
 
kwenye kujisajili sptfy niki click done hakuna kinacho tokea inaishia hapo tu
 
Poa mkuu..Shukrani
 
Mkuu mbona mi hi vpn inagoma... Na nashindwa kujisajil spotify
 
Hata GB inaweza fika,kulingana na muda unaosikiliza, wingi wa nyimbo na audio quality uliyoweka.
Hakun kitu kama hicho hata usikilize week nzima mfululizo GB moja huwez maliza, kwa mb 10 unaweza sikiliza usiku mzima
 
Hakun kitu kama hicho hata usikilize week nzima mfululizo GB moja huwez maliza, kwa mb 10 unaweza sikiliza usiku mzima
Hapo utasikiliza nyimbo ambazo umeshazisikiliza tayari kwasababau huwa zinahifadhiwa katika simu yako.
Jaribu kusikiliza nyimbo mpya ambazo hujawahi kuzisikiliza uone kama hizo mb 10 zako zitakufikisha popote...
 
Hapo utasikiliza nyimbo ambazo umeshazisikiliza tayari kwasababau huwa zinahifadhiwa katika simu yako.
Jaribu kusikiliza nyimbo mpya ambazo hujawahi kuzisikiliza uone kama hizo mb 10 zako zitakufikisha popote...
Hakuna cha kuhifadhi wala nini, kwasababu nyimbo zote wedha zipo kweny playlist au weekly discovered una stream, na sio kudownload na ndio maana husipokuw n bando hata huwez kucheza nyimbo yeyote. Bando litaliwa kama tu husipozima VPN.

Nakingine ukitaka kujua spotify check kweny data management utajua ni mb kiasi gani inakula ni ndogo sana kulinganisha hata na whatsapp
 
Hakun kitu kama hicho hata usikilize week nzima mfululizo GB moja huwez maliza, kwa mb 10 unaweza sikiliza usiku mzima
Mkuu hapa umesema uongo..mimu nilistream kwa lisaa limoja..quality ilikuwa ni high 0.5gb zikaondoka..ukiweka normal kwa siku nzima hio Gb moja lazima iishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…