Spray gani nzuri ya kiume

Spray gani nzuri ya kiume

Word. Mkuu hebu gawa hayo maujanja, tunapataje madude ya ukweli kwa bei nafuu? i hate buying an item at a higher price while i could get same at lower price
Njia rahisi ni kununua kwenye Duty Free shops ukiwa unasafiri au kuagiza ndugu jamaa na marafiki wakiwa wanasafiri. Binafsi nina bahati naleta mzigo almost every week from EU so nikihitaji tu napata within a week.
 
achana na spray kamata perfume kabisa
epic adventure sh. 40000 mpaka 50000/-
Mkuu nimejaribu kuiulizia hii kitu kwenye maduka mbali mbali inaonekana ni adimu kidogo..
Kama unajua mahali nikienda ntaipata bila shaka nijuze tafadhali..
 
Mkuu nimejaribu kuiulizia hii kitu kwenye maduka mbali mbali inaonekana ni adimu kidogo..
Kama unajua mahali nikienda ntaipata bila shaka nijuze tafadhali..
upo dar au wapi?
 
TUMIA DARK FEVER.
NINZURI SANA KILA MTU ATAKUULIZA NA KUKUSIFIA.
MIMI NATUMIA DARK FEVER...NENDA KWENYE DUKA KUBWA LA PERFUME UTAIPATA..
HAIZID 17000
 
Boys huwa wanatoa comments kama hii uliotoa. Watu wanatumia vitu kulingana na uwezo wao wa kifedha au misimamo yao. Kingine wewe unaweza kujisifia unatumia cologne ya 300,000/- wakati umepigwa tu wenzio tunanunua $50. Kuna cologne kibao hapa mjini(OG) zinauzwa 150,000-200,000 lakini wenigne tunazinunua kwa $30-50 tu.
Cheeeee!! Nielekeze Na Mie Nikanunue[emoji54]
 
Back
Top Bottom