Hahahahah sio mchezo, ila hio ya buku 4 ni daraja la mwisho itakuwa.Mwenzangu Kitu Hicho Kinauzwa Laki Na kitu Atakiwezea Wapi Mie Napaka Fake Yake n[emoji23][emoji23][emoji23]Aje nimwelekeze Chimbo Langu La Fake Zinauzwa Buku Nne Nne[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahahaAtakua anataka spray ya makalio baada ya kushusha gogo, mvulana wa mkoani
Chastity ziko mbili, ile ya black & red ndio iko poa zaidi!Jaribu CHASTITY iko pOa
Hawa wa Sweden si ndio wanauza madude yao kwa bei za ajabu sana! Unakuta tudude hatujai hata mkono unaambiwa 30,000Ascendant ya oriflame
Hawa wa Sweden si ndio wanauza madude yao kwa bei za ajabu sana! Unakuta tudude hatujai hata mkono unaambiwa 30,000
Ni nzuri ila bei sio rafiki kwa kweli, utoe 30k + utumie kitu kwa nafasi basi. Unajiminyaa humalizi hata week 3 kishaishaIla ni nzuri balaa afu unique...
Hawa wa Sweden si ndio wanauza madude yao kwa bei za ajabu sana! Unakuta tudude hatujai hata mkono unaambiwa 30,000
Kwa vyuma hivi mkuu, hiyo pesa bora ikaishie Bar tuu.achana na spray kamata perfume kabisa
epic adventure sh. 40000 mpaka 50000/-
Mama mmoja work mate wangu alinunua vidude 2 vidogo kama lipshine kwa hao wasweden 70,000. Akamdanganya mume wake kavinunua 5,000 vyote viwili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaona noma kutaja bei halisi.Hawa wa Sweden si ndio wanauza madude yao kwa bei za ajabu sana! Unakuta tudude hatujai hata mkono unaambiwa 30,000
Mama mmoja work mate wangu alinunua vidude 2 vidogo kama lipshine kwa hao wasweden 70,000. Akamdanganya mume wake kavinunua 5,000 vyote viwili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akaona noma kutaja bei halisi.
Ni sawa iko unique ila bei zao kali wawauzie nyie mnaochota hela kwetu tu hata mkilipishwa 70 kwa kitu chenye ujazo wa lipstic mnaona sawa tu...Asikwambie mtu kitu ukiwa mjanja kuna kali kibao ambazo unaweza pata kwa bei nafuu kabisa na still ukawa unique.Ila ni nzuri balaa afu unique...
Hii bei gani mkuu??Mi sasa hivi natumia Be Delicious by Donna Karan.
Inanukia utamu sana hio kitu, kama una demu wako anapenda hayo madude be assured kwamba anaweza ingia kingi kwa hilo ji scent langu tu. Mwenye uwezo aitafute hii kitu, atakuja simulia vyema.
Kiukweli hii nimeletewa kutoka ng'ambo na ndugu yangu. Kwa hapa bongo sijafatilia ila kule mamtoni ni kati ya $50-100 haizidi hapo!Hii bei gani mkuu??