Sprit Science(Sayansi ya Roho)

Sprit Science(Sayansi ya Roho)

Issue siyo sayansi kuthibitisha au kutokuthibitisha

Sayansi haiwezi kuthibitisha uwepo wa Roho kwasababu haipo

Wewe unayesema roho ipo ndiye unayepaswa kututhibitishia
Mwanadamu bado hajafikia uwezo wa kuverify hivi vitu physical elewa ivo ila vina exist , ni kama Anga za mbali zinavyoelezewa uwepo wake Unaweza kuthibitisha kuwa binadamu ana mawazo au akili? je huamini uwepo wa mawazo au akili ambayo ndio matokeo ya hivi vitu halisi, science ni nini?
 
Tupe elimu nasi tujielimishe...nini maana ya salamu hiyo..?

a yake. Ni moja kati ya salamu zenye maana nzuri nilizowahi kusikia[/QUOTE]
Tupe elimu nasi tujielimishe...nini maana ya salamu hiyo..?
 
Roho haionekani ila ipo ndani yetu#&***

Khaaa,sasa kama haionekani utesemaje ipo ndani yetu na sio nje yetu?
 
Mkuu hakuna kitu kizuri Duniani kama kutofautiana
Wanadamu wote wangelikuwa na fikra sawa hakuna ambaye angejifunza kitu kipya

Kusingelikuwa hata na changamoto

Na maisha bila changamoto hayaendi Ati!
Ni kweli na upo sahihi lakini inahitajika uelewa wa kiwango chake mtu kuweza kulikubali hili
 
Bonesmen said:
Mwanadamu bado hajafikia uwezo wa kuverify hivi vitu physical elewa ivo ila vina exist,
The first step to verification is recognization which is deeply tied to the Evidence
Kama hakuna mwanadam anayeweza kuithibitisha

Huna haki ya kusema ipo.
ni kama Anga za mbali zinavyoelezewa uwepo wake
Anga za mbali?Anga zipi?
Unaweza kuthibitisha kuwa binadamu ana mawazo au akili? je huamini uwepo wa mawazo au akili ambayo ndio matokeo ya hivi vitu halisi
Kuna njia kuu mbili za kuthibitisha kitu

Kukiona au kuona physical effect yake

Au kwa kutumia Logic
Tunaamini kuwa Akili na mawazo yapo kwasababu tunaona effect yake

Kuna physical effect yoyote ya Roho?
 
The first step to verification is recognization which is deeply tied to the Evidence
Kama hakuna mwanadam anayeweza kuithibitisha

Huna haki ya kusema ipo.

Anga za mbali?Anga zipi?

Kuna njia kuu mbili za kuthibitisha kitu

Kukiona au kuona physical effect yake

Au kwa kutumia Logic
Tunaamini kuwa Akili na mawazo yapo kwasababu tunaona effect yake

Kuna physical effect yoyote ya Roho?
Witchcraft au vitu kama imagination ni matokeo ya roho maana ina uungu ndani yake, Tatizo lako unajikiza tu mwenyewe mana nakuambia verify uwepo wa akili physical unaeleza kuwa ili tuthibitishe uwepo wa jambo sio lazima tulione physical bali ni matokeo sasa matokeo ya Akili na designed yanaanzia kiroho then ndo akili ina chambua yani ina act as processor lakin u must have a power to operate processor hio power ndo Roho sasa
 
Tupe elimu nasi tujielimishe...nini maana ya salamu hiyo..?

a yake. Ni moja kati ya salamu zenye maana nzuri nilizowahi kusikia
Tupe elimu nasi tujielimishe...nini maana ya salamu hiyo..?[/QUOTE]
1454527453138.jpg
 
Kama kitu chenyewe siyo testable umejuaje kama kipo?

Utajuaje kitu kipo wakati huwezi kuthibitisha uwepo wake?

Roho na mwili vinaweza kutengamana?
We ushawahi kutest njaa? Bt mbona unakula kila baada ya masaa kadhaa!!! Ushawah kuiona njaa? If not na Mungu ndivyo alivyo hatumuoni LAKINI YUPO
 
Issue siyo sayansi kuthibitisha au kutokuthibitisha

Sayansi haiwezi kuthibitisha uwepo wa Roho kwasababu haipo

Wewe unayesema roho ipo ndiye unayepaswa kututhibitishia

Kama hakuna Roho kuna tofauti gani kati ya kiumbe kilicho hai na kisicho na uhai ??
 
Kama kitu chenyewe siyo testable umejuaje kama kipo?

Utajuaje kitu kipo wakati huwezi kuthibitisha uwepo wake?

Roho na mwili vinaweza kutengamana?
Unaweza ukanionyesha kani ya uvutano niione kwa macho niishike ili niamini kweli kani ya uvutano ipo?
 
Unaweza ukanionyesha kani ya uvutano niione kwa macho niishike ili niamini kweli kani ya uvutano ipo?

Unataka kuziona gravitons weye?

Nenda CERN

Si lazima uione kani ya uvutano ndo ujue ipo
Effect yake ndiyo inayothibitisha uwepo wake
 
Unataka kuziona gravitons weye?

Nenda CERN

Si lazima uione kani ya uvutano ndo ujue ipo
Effect yake ndiyo inayothibitisha uwepo wake
umejibu vizuri sana! ndio ipo ivyo kwa Mungu huwezi kumwona ila effects zake zinaonekana....ushajiuliza kwanini hizo kani ya mvutano zimekaa kimpangilio wa kusaidia uhai uendelee kuwepo na kwanini hazikukaa kutokusaidia uhai wa wanadamu?
 
umejibu vizuri sana! ndio ipo ivyo kwa Mungu huwezi kumwona ila effects zake zinaonekana....ushajiuliza kwanini hizo kani ya mvutano zimekaa kimpangilio wa kusaidia uhai uendelee kuwepo na kwanini hazikukaa kutokusaidia uhai wa wanadamu?

So order and complexity need a designer?
 
Kama hakuna Roho kuna tofauti gani kati ya kiumbe kilicho hai na kisicho na uhai ??

Huitaji roho kutofautisha kitu chenye uhai na kisicho na uhai

Tofauti na rahisi tu

Kiumbe hai kimeundwa na cells,DNA na pia kina sensory perception

Kina kua na kuzaliana,sifa hizo zote huwezi kuzipata kwa kiumbe kisicho na uhai

Kwani jiwe linazaa?
 
Back
Top Bottom