Spy App

Spy App

Mkuu japo sijafanya ila naamini anamaanidha hivi!!
Ile application inakuwa kwenye simu ya muathirika, email yake inakuwa ipo pale so inakusanya habari zote katika simu ile!!
We unapokuja kulog in huku taarifa zake zote unakuwa nazo wewe... kifupi hiyo app inakuwa inakusanya habari zooote inaweka kumbukizi, so email inakuwa inakupa uwezo wa kuingia katika ile account ikiyohifadhiwa hayo mambo
Sijui kama nimeelewa sahihi!!
hiyo email ni ya play store au maana hapa tatizo lipo hapo au brother unaweza kuchukua email ya mtu bila password

Niweke sawa hapo
 
Hili ni bonge la app, mimi huwa nawachekaga tu rafiki zangu wanavyo jaribu kumtongoza mke wangu.

Pili imenisaidia kurudisha ktk familia viwanja vitatu alivyonunua mke wangu pasi na mimi kujua.
Mke wako akili hana.
Kama umemdukua muda wote huo na haja block udukizi wako
 
Mkuu ukimchunguza saana bata mawili aidha usimle ama ukamla kwa uhakika na kujinafasi zaidi..
Usiogooe kuchunguza, sio mke wangu, ndio maana nimeanza kabisa angekuwa mke hapo sawa, tunataka kuingia huko ndio maama, kama ana mambo ya kiduwanzi nipige chini kabisa, kama safi na iwe safi.
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume. Hautakiwi kuogopa mapenzi bali mapenzi ndiyo yakuogope wewe. Ukiishi maisha hayo utakuwa na raha sana na wengi wanaishi maisha ya raha ni wale ambao hawakumbatii mapenzi. Utakuta mtu hata kushika simu ya mkewe anaogopa.
Nimekukubali sana. Huo ndiyo uanaume. Haifai hata siku mmoja mwanaume kulilia mapenzi
 
Hili ni bonge la app, mimi huwa nawachekaga tu rafiki zangu wanavyo jaribu kumtongoza mke wangu.
Pili imenisaidia kurudisha ktk familia viwanja vitatu alivyonunua mke wangu pasi na mimi kujua.
Embu brother nipe njia au namna ya kufanya kazi hiyo app Tafadhali
 
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume. Hautakiwi kuogopa mapenzi bali mapenzi ndiyo yakuogope wewe. Ukiishi maisha hayo utakuwa na raha sana na wengi wanaishi maisha ya raha ni wale ambao hawakumbatii mapenzi. Utakuta mtu hata kushika simu ya mkewe anaogopa.
Nimekukubali sana. Huo ndiyo uanaume. Haifai hata siku mmoja mwanaume kulilia mapenzi
Huu ndio ujinga ninaoukimbia mimi, mapenz ni starehe, mapenz ni raha badala ya kuwa raha ndio iwe karaha!! Upuuzi gani huu, sasa nisishike simu ya mwenzangu ndio nikashike ya nani, hapa nyeusi ni nyeusi, hakuna haja ya nyeus kuisingizia weuoe usio wake..

Tuko pamoja mkuu!!
 
Unataka kufa kwa sukari mkuu.
Hakuna cha sukari wala chumvi!! Nyie tu na hofu yenu kwenye mapenzi!!

Ndio mshakuwa mwili mmoja, mnakula pamoja, kulala pamoja, kuoga pamoja, mengi ya maana mnafanya pamoja, sasa iweje simu muwekeane mipaka.

Mie nataka nijue ya ndani kabla ya kufanya uamuzi sahihi.
 
mh yaani kama ningekuelewa ningefurahi mzee

email ya nani ?
how unaweza pata normal call kwa njia ya email au hata sms


weka sawa hapo
Calls zilizopigwa unapata mkuu so kwamba unaweza kupokea .. email ya mhusika unayetaka upate mawasiliano yake .
 
Mkuu japo sijafanya ila naamini anamaanidha hivi!!
Ile application inakuwa kwenye simu ya muathirika, email yake inakuwa ipo pale so inakusanya habari zote katika simu ile!!

We unapokuja kulog in huku taarifa zake zote unakuwa nazo wewe... kifupi hiyo app inakuwa inakusanya habari zooote inaweka kumbukizi, so email inakuwa inakupa uwezo wa kuingia katika ile account ikiyohifadhiwa hayo mambo

Sijui kama nimeelewa sahihi!!
Yap ndo maana yangu boss hutojuta mm nina mpenzi wangu huwa natumia njia hii msingi usiwe na moyo mwepesi
 
hiyo email ni ya play store au maana hapa tatizo lipo hapo au brother unaweza kuchukua email ya mtu bila password

Niweke sawa hapo
Email ni ile ya kwenye playstore, ambayo ndio inakuwa account kuu!!

Kwa maelezo ya jamaa huitaji password zake, unaweka zako zozote, kifupi unakuwa kama umefungua account sasa ile email inakuwa inaruhusu data kubebwa na kuwekwa katika hiyo account ambayo utakuwa unasomea ww habari zako.
 
Niliwahi kumfuatilia dem wangu moja, nikimwangalia ni mwaminifu sana. Lakini ni nilipoanza kumchunguza nilikuta madudu mengi. Nilitumia njia ya rafiki yake wa karibu sana nilimlipa pesa.... Mtu unaempenda alafu ukamkuta na madudu inauma sana.
 
Niliwahi kumfuatilia dem wangu moja, nikimwangalia ni mwaminifu sana. Lakini ni nilipoanza kumchunguza nilikuta madudu mengi. Nilitumia njia ya rafiki yake wa karibu sana nilimlipa pesa.... Mtu unaempenda alafu ukamkuta na madudu inauma sana.
Wewe ni mpuuzi kutoa hela
Na huyo shem wako ni fala kukuambia yote siri za rafikiyake
 
Email ni ile ya kwenye playstore, ambayo ndio inakuwa account kuu!!
Kwa maelezo ya jamaa huitaji password zake, unaweka zako zozote, kifupi unakuwa kama umefungua account sasa ile email inakuwa inaruhusu data kubebwa na kuwekwa katika hiyo account ambayo utakuwa unasomea ww habari zako.
ongera sana brother nimekuelewa kuna watu wa aina mbili dunia

1.Wagumu kuelewa
2.Wasiojua kuelewesha (kufahamisha)

special kwa mtoa mada
 
Hili ni bonge la app, mimi huwa nawachekaga tu rafiki zangu wanavyo jaribu kumtongoza mke wangu.

Pili imenisaidia kurudisha ktk familia viwanja vitatu alivyonunua mke wangu pasi na mimi kujua.
Vipi mzee, kuificha mtumiaji wa simu asione ama inajificha automatically!?
 
Back
Top Bottom