Sri Lanka: Vikosi vya Usalama vyafukuza waandamanaji

Sri Lanka: Vikosi vya Usalama vyafukuza waandamanaji

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Siku moja baada ya Rais Ranil Wickremesinghe kusema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wanaoandamana, Vikosi vya Usalama vimevamia kambi ya Waandamanaji katika Mji Mkuu wa Colombo, na kuwafukuza waliokuwa nje ya Ofisi ya Rais.

Mara baada ya kuapishwa, Rais Wickremesinghe aliweka wazi kuwa jaribio lolote la kuiondoa Serikali au kuweka makazi katika majengo ya Serikali sio Demokrasia, na kuonya watakaofanya hivyo watachukuliwa hatua za kisheria.
===

Security forces in Sri Lanka have raided the main anti-government protest camp in the capital Colombo and have begun pulling down tents.

Hundreds of troops and police commandos moved on the protesters outside the presidential offices, hours before they were due to leave the area.

A BBC video journalist was beaten by the army and one soldier snatched his phone and deleted videos.

It comes after Ranil Wickremesinghe was sworn in as president.

Sri Lanka's ex-president Gotabaya Rajapaksa fled the country last week.

Mr Wickremesinghe - the former prime minister - is seen as deeply unpopular with the public, and has vowed tough action against demonstrators. But some protesters have said they will give him a chance.

Sri Lanka has seen months of mass unrest over an economic crisis.

Many blame the Rajapaksa administration for mishandling the nation's finances, and see Mr Wickremesinghe as part of the problem.

But there were few demonstrations on the streets the day after he won the parliament vote.

Soon after Mr Wickremesinghe was sworn in, he made clear that any attempt to topple the government or occupy government buildings was not democracy and warned that those who indulge in such activities will be dealt with firmly according to the law.

There had been concerns among demonstrators that the government might gradually crack down on the protest movement sooner or later.
 
Rais mpya hajawaletea maisha Bora tuu? 😆😆..

Hivi ndivyo Chadomo hudanganya watu utasikia Katiba mpya mara 2025 as if wao wakiingia basi maisha yatakuwa mtelezo na watakuwa wanagawa pesa.
 
Huyu Rais na kundi lake ndani ya Serikali iliyopita ndio wali coordinate na ku finance wale walioandamana na kuangusha Serikali

siku hizi hakuna maandamano ya wananchi kuna maandamano ya Wanasiasa waliotumia wananchi na baada ya hapo huwa hakuna mabadiliko chanya yoyote kwa wananchi
 
yaani sisi Binadamu tunaweza kudhani tulichoncho hakifai tunaka kile kumbe ndio hakifai kabisa.

hivo hivo hata kwenye ndia unaweza kumuacha mke/mume kwa kuona hakufai labda utakayepata atakua bora ukapata tatizo kuliko uliloliacha.

ona alieondoka aliwaacha mpaka wakaweka kambi ikulu wakaona bado bora atoke aje mwingine ndio atafaa ila badala yake aliyekuja ndio anawanyoosha mpaka wanajuta.

tujifunze kuridhika na tulichonacho 🙏
 
Back
Top Bottom