SSC bado hamjajipata , msihadaike na goli 3

Simba wana asilimia chache sana za kuvuka hatua ya makundi msimu huu ukilinganisha na kaka yake Yanga! ambaye anatakiwa kushinda mechi zake mbili tu za nyumbani, halafu anatoa droo moja; tayari robo fainali.
Wydad baada ya kumchapa Simba kimoja ni kama gari ilokataa kuwaka kwa masaa mengi kisha baadae ikapigwa start na kuwaka, hiyo tamaa ya kuanza safari ni kubwa saana, kwahiyo Simba aelewe kwamba anaenda kukutana na Wydad ambae ana shauku ya hali ya juu ya ushindi dhidi yao hapo J4.
 
Na hakika anashinda

Simba hatoboi, this time hatoboi. Hakuna forward aggressive ambae anauchu na goli. Utaona wanakosa kosa magoli mengi sana hadi dakika 90 zinaisha kama ilivyokuwa mechi yao ya juzi
Sio foward tu bali hata full backs hana, hakuna mkabaji n.k
 
Ila kwa viwango vya sasa, Medeama ni wagumu kuliko Wydad. Yanga ana mechi ngumu zaidi kuliko mechi ya Simba dhidi ya Wydad.
Nilisema ni mechi nyepesi kwa Simba, ila kesho Yanga atakuwa na shughuli pevu. Wale Medeama ni wa moto
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tukitaka letu tunaweza tumejipataaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…