SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

Wewe ulishindwa vp kumfunga waydad kwake na ulishindwa vp kumfunga yanga
 
Ahly alikaziwa taifa

Hakuwa na jipya
Kama hana jipya mlishindwa vipi kumfunga?
Mnakutana naye Misri, weka nyumba, mshahara hata milion 1 weka ushindi kwa Yanga au draw utapigana hela. Nimekupa mkeka, ushindwe wewe tu.
 
Goli goli tu wewe hauna hoja ndo maana viburi vyenu mkala chuma 5
Kila timu changa ina ndoto ya kuifunga Simba ndiyo maana ushindi unaukumbukwa ni wa kuifunga Simba
Kwa mfano hizo chuma 5 angekula Al Ahly, ingekuwaje siku hiyo?
 
Wamesahau afu povu lote hili la nini? maumivu yakizidi mwone Dr Mkandaji [emoji28]
 
Kila timu changa ina ndoto ya kuifunga Simba ndiyo maana ushindi unaukumbukwa ni wa kuifunga Simba
Kwa mfano hizo chuma 5 angekula Al Ahly, ingekuwaje siku hiyo?

Yanga sio changa acha denial

Hata ukija sasa hivi tunakugonga tena na huna la kufanya hadi muachane na hao wazee wenu
 
Yanga sio changa acha denial

Hata ukija sasa hivi tunakugonga tena na huna la kufanya hadi muachane na hao wazee wenu
Wazee ndio wenye Simba huwezi kuwaondoa, wengine kina 'sisi' ni mashabiki na wanachama tu
 
Ni ujinga wa hali ya juu kuwa na malengo ya kufika fainal ya CAFCL yet unaenda kumchukua mikison, unaendelea kubak na Hussein , mzamiru na ushuzi
Mwingine

Wekeni malengo realistic ambayo ni kuwa mtu wa pili kwenye ligi ya ndani na kufika makundi CAFCL
 
Dah kweli kwa sajili hizi

LAZARUS KAMBOLE mlimuuza Bayern's Munich
BIGIRIMANA mlimuuza Newcastle
Lile beki la Caf champions mmeuza Nantes
KONKON mmewapandia dau al ahly walikuwa wana mtaka

Jamaa genius sana congratulations engineer.
 
Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine
Hajielewi hyo Eden hazard ameenda Madrid kilichomkuta anajuta yaani mtu hawezi kuamini kwamba Kevin the bryne na Salah walipita Chelsea jinsi walivyo sasa hivi sometimes usajili ni kamari you can win or lose the battle.
 
Na jana ndio ushindi wao wa kwanza katika mashindano ya Caf champions league
 
Siwezi kuumia mimi labda wewe unayeenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na mnyama.
Mnyama huyo ambae kala goli 5 mnyama mashabiki zake lialia mnyama mangungu hatumtaki mnyama unyama ni mwingi kupigwa 5 mnyama
 
Simba hufuatilia tetesi kuwa Yanga wanataka kumsajili mchezaji gani ndipo wanamfuata. Scouting team ya Simba ni ya hovyo sana.
Pia wanatafuta makocha ambao wamewahi kuifunga Yanga miezi au miaka ya karibu.
Mifano: Robertinho Oliveira wa Vipers, na Benchikha wa USMA. Utasikia tunamleta mbaya wenu.
 
Hajielewi hyo Eden hazard ameenda Madrid kilichomkuta anajuta yaani mtu hawezi kuamini kwamba Kevin the bryne na Salah walipita Chelsea jinsi walivyo sasa hivi sometimes usajili ni kamari you can win or lose the battle.

Sasa nyie ni eden au Salah ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…