SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

SSC, sio mbaya kujifunza kwa Injinia namna ya kufanya Sajili za wachezaji

Sawa
  • Kama Simba alitoka draw na Al Ahly na wewe uliifunga Simba goli 5. Ulishindwa vipi kuifunga Al Ahly?
  • Kama mlifunga Simba goli 5, ilikuwaje mkafungwa 3-0 Algeria?
Bora Simba iliyofungwa 1-0 kuliko Yanga iliyofungwa 3-0 halafu ball possession ilikuwa mnaongoza 😀😀😀😀😀😀
Wewe ulishindwa vp kumfunga waydad kwake na ulishindwa vp kumfunga yanga
 
Ahly alikaziwa taifa

Hakuwa na jipya
Kama hana jipya mlishindwa vipi kumfunga?
Mnakutana naye Misri, weka nyumba, mshahara hata milion 1 weka ushindi kwa Yanga au draw utapigana hela. Nimekupa mkeka, ushindwe wewe tu.
 
Goli goli tu wewe hauna hoja ndo maana viburi vyenu mkala chuma 5
Kila timu changa ina ndoto ya kuifunga Simba ndiyo maana ushindi unaukumbukwa ni wa kuifunga Simba
Kwa mfano hizo chuma 5 angekula Al Ahly, ingekuwaje siku hiyo?
 
Kama Simba tu meifunga mpk leo hii mnaukumbuka ushindi ili hali mashabiki wa Simba wamesahau.
Kwa mfano mngeifunga Al Ahly, Wydad, Mamelod au Al Hilal hizo bao 5? Mngefanya bonge la sherehe na ingekuwa mapumziko ya wiki nzima kukumbuka ushindi
Mngekuwa bora sana kuliko Simba msingefungwa 3-0 na Bulzadad Algeria
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wamesahau afu povu lote hili la nini? maumivu yakizidi mwone Dr Mkandaji [emoji28]
 
Kila timu changa ina ndoto ya kuifunga Simba ndiyo maana ushindi unaukumbukwa ni wa kuifunga Simba
Kwa mfano hizo chuma 5 angekula Al Ahly, ingekuwaje siku hiyo?
Unaniuliza Mimi muulize pacome
20231221_102533.jpg
 
Kila timu changa ina ndoto ya kuifunga Simba ndiyo maana ushindi unaukumbukwa ni wa kuifunga Simba
Kwa mfano hizo chuma 5 angekula Al Ahly, ingekuwaje siku hiyo?

Yanga sio changa acha denial

Hata ukija sasa hivi tunakugonga tena na huna la kufanya hadi muachane na hao wazee wenu
 
Yanga sio changa acha denial

Hata ukija sasa hivi tunakugonga tena na huna la kufanya hadi muachane na hao wazee wenu
Wazee ndio wenye Simba huwezi kuwaondoa, wengine kina 'sisi' ni mashabiki na wanachama tu
 
Ni ujinga wa hali ya juu kuwa na malengo ya kufika fainal ya CAFCL yet unaenda kumchukua mikison, unaendelea kubak na Hussein , mzamiru na ushuzi
Mwingine

Wekeni malengo realistic ambayo ni kuwa mtu wa pili kwenye ligi ya ndani na kufika makundi CAFCL
 
SSC mnatakiwa kuona namna ambavyo Dar Young Africans wanavyocheza, ni kazi nzuri ya Hersi Said, Injinia.

Kaeni nae chini awape mbinu.

Hata yeye alijifunza kutokana na mafanikio SSC ya kipindi hicho chini ya kina Hans Pope, akajifunza pia namna ya kulobby kupitia kina barbara. Now ni masterminder wa kulobby na sajili za kimkakati, a silent killer.

Jamaa ameshaona sajili za youtube na ten percent hazina ishu tena na anasikiliza kile ambacho kocha ameshauri.

Mkitaka kuona tofauti ya Hersi Said, Injinia na vichwa maji vya msimbazi subirini muone usajili wa dirisha dogo. Mtaelewa what I mean .

Kaeni chini na Hersi Said, Injinia awafundishe namna ya kufanya sajili za kimkakati. Leo hii hata game ikirudiwa, SSC inatobolewa kirahisi tu. Ukuta wa Yanga upo imara, Ukuta wa SSC hauwezi kumzuia Aziz Q, Pacome Misonda etc

Over 5 years mmecheza robo fainal, SSC hamjawahi kucheza nje ya hapo….. a big comfort zone of SSC.

I bet ,Yanga akichomoka group stage , mtamuokota nusu fainal ya CAF , anacho kikosi cha kufanya hivo, na itakuwa ni aibu yenu SSC kutuaminisha for 5 years mfululizo kuwa robo fainal ndio mpango mzima. Shirikisho mnaishia robo fainal na kufa kiume, Yanga akavunja huo mwiko. CAFCL nayo mnaishia robo, na Yanga ndio atavunja huo mwingi this time.


Hongera Hersi Said, Injinia kwa kazi nzuri, kwanza inayoanzia kwenye usajili ambao sio mchongo, hao wengine waache waamini kwenye kupuliza ndumba na kina manula wao.

Wewe fanya kazi, kijana mtanashati, smart and intelligent hakuna mambo ya kuweka tumbo mbele, fundisha hayo mazee ya msimbazi namna ya kufanya kazi as a smart young guy .

Naamini Yanga atacheza nusu fainal, SSC Muishie makundi, maana hata mkitoboa hamtakuwa na impact yoyote, mtakuja kutuambia tu mmekufa kiume.

Tumechoka kusikia huo upupu over 5 years .
Dah kweli kwa sajili hizi

LAZARUS KAMBOLE mlimuuza Bayern's Munich
BIGIRIMANA mlimuuza Newcastle
Lile beki la Caf champions mmeuza Nantes
KONKON mmewapandia dau al ahly walikuwa wana mtaka

Jamaa genius sana congratulations engineer.
 
Usajiri ni kamali hata timu kubwa kama real madrid, maan U man City, arsenal pia zinafeli kwenye usajiri mfano haaaataaaa injinia pia amfeli kwa konkoni, skudu, ngushi, metacha, na yule kipa mwingine
Hajielewi hyo Eden hazard ameenda Madrid kilichomkuta anajuta yaani mtu hawezi kuamini kwamba Kevin the bryne na Salah walipita Chelsea jinsi walivyo sasa hivi sometimes usajili ni kamari you can win or lose the battle.
 
Hizo ni timu tishio kwa Yanga tu kwa Simba ndiyo tunawataka hao kama Al Ahly, Mamelody, Wydad, Al Hilal na timu kubwa ili tujue tumefanikiwa kivipi kisoka. Yanga imechukua miaka 25 kuingia kwenye makundi ya champion League kwahiyo bado watoto.
Yanga ukiwauliza ni timu gani kubwa ambayo umeifunga watakuambia TP Mazembe, uliifunga ulikutana nayo wapo watakuambia shirikisho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yanga wanatamani wacheze hata na Ndanda kama inawezekana ili waingie fainali ya Champion League. Al Ahly anawasubiri kwao[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na jana ndio ushindi wao wa kwanza katika mashindano ya Caf champions league
 
Siwezi kuumia mimi labda wewe unayeenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na mnyama.
Mnyama huyo ambae kala goli 5 mnyama mashabiki zake lialia mnyama mangungu hatumtaki mnyama unyama ni mwingi kupigwa 5 mnyama
20231216_224337.jpg
 
Simba hufuatilia tetesi kuwa Yanga wanataka kumsajili mchezaji gani ndipo wanamfuata. Scouting team ya Simba ni ya hovyo sana.
Pia wanatafuta makocha ambao wamewahi kuifunga Yanga miezi au miaka ya karibu.
Mifano: Robertinho Oliveira wa Vipers, na Benchikha wa USMA. Utasikia tunamleta mbaya wenu.
 
Hajielewi hyo Eden hazard ameenda Madrid kilichomkuta anajuta yaani mtu hawezi kuamini kwamba Kevin the bryne na Salah walipita Chelsea jinsi walivyo sasa hivi sometimes usajili ni kamari you can win or lose the battle.

Sasa nyie ni eden au Salah ?
 
Back
Top Bottom