Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'
Acha kutafuta misifa
Kiswahili sio lugha yangu ya kwanza am sorry
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'
Acha kutafuta misifa
Lakini kusema kiswahili sio lugha yake ya kwanza inawezekana kama ilivyo kwa Watanzania wengi [emoji23]Hii kamba ya pili lakini tumekupata hivo hivo
Hapo kwa Consolata panaweza pakawa kamba ili kulazimisha hoja sema nn mm nimekupata hivyo hivyoKwanza ili kuingia shule Kuna mtihani wa mchujo, watoto hua wengi Sana zaid ya buku 3 na wakachukua watoto 100 hivyo ni bright haswaaa hili ndilo kubwa kuliko yote. Mazingira mazuri ya kujifunzia, kuwakeep wanafunzi busy katika kipindi chote Cha masomo mpka muda wa likizo.
Kipindi Cha likizo wanapewa home package, Ni maswali mengi watoto hufanya mpaka tarehe ya kufungua na bado hawajamaliza.
Hili la kununua mitihani ni uzushi na halina ukweli hata kidogo. Mtoto aliyekua wa kwanza kitaifa ni ndugu yangu wa karibu, Consolata toka akiwa shule ya msingi alikua bright Sana. Shule ya msingi aikwa darasa la tano alishinda tuzo ya kuandika insha na lilikua shindano la shule zima, toka hapo tukajua sio mtoto wa kawaida. Hili la kuingia wa kwanza kitaifa sio kwamba limekuja tu, alikua anajua na amejiandaa kuingia 10 Bora kitaifa. Hata mtihani wa mock alikuwa wa kwanza kwa Kanda.
Mwisho naweza kusema watoto wengi wa st Fransis hua ni bright, lakini pia hupata malezi bora shuleni na nyumbani.
Hapana anaweza asiwe na maana hiyo labda , wengi lugha zetu za kwanza ni lugha zetu za makabila alaf kiswahili lugha ya pili mimi nimemuelewa kwa upande huo. Mfn kuna maeneo mimi hukwepa kutumia msamiati wa kiswahili kutokana na kusumbuliwa na matumizi sahihi ya silabi L& R. Lakini kama alimaanisha hakiwezi kiswahili hiyo hapana [emoji23][emoji23]Binti anataka kutuaminisha kakulia mummy this daddy that families kumbe mmatumbi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama haujawahi shuhudia, hauwezi muelewa jamaaWe endelea kushabikia mpira una low IQ sijawahi kuona kwa haya uliyoandika nimeamini kuwa upo na akili ndogo sana
Hivi kweli lugha ya kwanza iwe kihehe afu umudu standards za St Francis mbona hiyo kamba🤣🤣🤣🤣Hapana anaweza asiwe na maana hiyo labda , wengi lugha zetu za kwanza ni lugha zetu za makabila alaf kiswahili lugha ya pili mimi nimemuelewa kwa upande huo. Mfn kuna maeneo mimi hukwepa kutumia msamiati wa kiswahili kutokana na kusumbuliwa na matumizi sahihi ya silabi L& R. Lakini kama alimaanisha hakiwezi kiswahili hiyo hapana [emoji23][emoji23]
Yah inawezekana kiswahili na lugha nyingine si unajifunza tu ? .Hivi kweli lugha ya kwanza iwe kihehe afu umudu standards za St Francis mbona hiyo kamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama ni kikurya, ndiyo asiwe na mpangilio wa herufi, nukta na koma !!. Huyo huyo adai amesomea St Francis ?!.Hivi kweli lugha ya kwanza iwe kihehe afu umudu standards za St Francis mbona hiyo kamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na anaweza asiwe ni demu hata ...unakuta ni limwamba fulani 😂😂😂....Sema kama ni St Alumni kweli basi naanza kupata mashaka na one zao za single digitsHata kama ni kikurya, ndiyo asiwe na mpangilio wa herufi, nukta na koma !!. Huyo huyo adai amesomea St Francis ?!.
Huyo demu tapeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli usome St Francis usijue uandishi wa sentensi ?!. Huna cha herufi kubwa, koma wala nukta !!. Halafu lugha upate 'A'
Acha kutafuta misifa
Wakiendaga advance shule za serikali hasa special wanakuaga weupeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawana maajabu.Hapo kwa Consolata panaweza pakawa kamba ili kulazimisha hoja sema nn mm nimekupata hivyo hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na anaweza asiwe ni demu hata ...unakuta ni limwamba fulani [emoji23][emoji23][emoji23]....Sema kama ni St Alumni kweli basi naanza kupata mashaka na one zao za single digits
NAKAZIA!!!Sio kwamba hawafundishi ila naomba kujua data kama tatu:-
Wote walioingia walikuwa na Passmark kiasi gani (creme de la cream)
Michujo ilifanyika kiasi gani (yaani potential failures wote kuondolewa)
Ufundishaji mzuri na kulenga mitihani (sijajua uelewa wa hawa vijana wala thinking capacity yao ila Mitihani hii ilivyo unaweza ulenga mitihani kwa kukariri hata kama thinking capacity yako ni ndogo)
Kwahio binafsi ubora wa shule naupima kwa mtu kumtoa point A kwenda B; bila mchujo wala kuchagua wanaojiweza pekee..., kama mtu amekuja hajui kitu na after four years akapata hata three huenda shule hio imefanya kazi kuliko kuchukua the best na katika hao best wale wote ambao ni better kuwabakisha madarasa (hio haijengi sababu hata Div 1 mpaka Three kwa form four bado ni ufaulu na kuna a long way forward na kuna a room for improvement
Sasa mbona wakati anahojiwa na mwananchi alisema hakutegemea kuingia top 10 ila mapenzi ya Mungu.Ama kweli huko alipo baba wa taifa anaona adui wa nne wa taifa ambaye ni unafki.Kwanza ili kuingia shule Kuna mtihani wa mchujo, watoto hua wengi Sana zaid ya buku 3 na wakachukua watoto 100 hivyo ni bright haswaaa hili ndilo kubwa kuliko yote. Mazingira mazuri ya kujifunzia, kuwakeep wanafunzi busy katika kipindi chote Cha masomo mpka muda wa likizo.
Kipindi Cha likizo wanapewa home package, Ni maswali mengi watoto hufanya mpaka tarehe ya kufungua na bado hawajamaliza.
Hili la kununua mitihani ni uzushi na halina ukweli hata kidogo. Mtoto aliyekua wa kwanza kitaifa ni ndugu yangu wa karibu, Consolata toka akiwa shule ya msingi alikua bright Sana. Shule ya msingi aikwa darasa la tano alishinda tuzo ya kuandika insha na lilikua shindano la shule zima, toka hapo tukajua sio mtoto wa kawaida. Hili la kuingia wa kwanza kitaifa sio kwamba limekuja tu, alikua anajua na amejiandaa kuingia 10 Bora kitaifa. Hata mtihani wa mock alikuwa wa kwanza kwa Kanda.
Mwisho naweza kusema watoto wengi wa st Fransis hua ni bright, lakini pia hupata malezi bora shuleni na nyumbani.
Sasa mbona wakati anahojiwa na mwananchi alisema hakutegemea kuingia top 10 ila mapenzi ya Mungu.Ama kweli huko alipo baba wa taifa anaona adui wa nne wa taifa ambaye ni unafki.
Mkuu hao ni walimu wako kwenye mfumo mzima ....
Unajua mitihani ya necta form four inatugwa vip? Kama unajua mtihani unatugwa vip ndio utaweza kukubaliana na Mimi kuwa kuvujisha maswali yanayotoka kwenye mtihani wa necta ni simple Sana....
Kama mnadhani ni uongo ....
Naomba mkafuatilie pepar wanazofanya hawa watoto kabla ya necta ...hapa namaanisha "pre -necta examination na "ready for necta"....
Baada ya kupitia hizo Pepar njoo uangalie necta ,ndio utajua hujui ....
Kwenye physics ,biology na chemistry practical ndio usiseme [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani hapa uanaambiwa live kabisa kuwa ,swali la volumetric analysisi volume of acid (Va=23.6 ) hakuna haja ya kuhangaika na pipete ,Wala measuring cylinder ...
Biology sample zote za viumbe wanaambiwa ,na ndio vinatoka ..
Physics kwenye equilibrium ,electric current ,sample zote wanaambiwa ...
Watoto wanatafuniwa kila kitu kuanzia ,bwenini kufanya usafi ,shule kufagia wanafanyiwa ,kutandika vitanda ,vyooni kudekiwa ,Hadi kufuliwa nguo ,walimu wanawatafunia material darasani ,Hadi mitihani ya necta wanatafuniwa .....hao watoto wanachojivunia ni uelewa wa mambo mbalimbali kutokana na tour ,na safari mbalimbali mbunga za wanyama n.k ....Ni mayai mayai tu
Lakin mtoto wa vidumu na maji ni more powerful and creative ,ni vile tu kiingereza ndio inakuwa tatizo ...
Msiwe wajinga Sana ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuandika kwa usahihi ni changamoto kwako halafu bado unataka tuamini wewe ulifeli kwasababu hukununua mitihani?Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivyo, never ever....
Hapa bongo ukishakuwa na pesa hakuna kinachoshindikana, paper za NECTA zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema