St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Nimelipenda jibu lako🙏🏽
 
Binti anataka kutuaminisha kakulia mummy this daddy that families kumbe mmatumbi🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Upo so negative maskini mimi sipo kukuaminisha
Inaonekana ni mtu una roho ya kwanini[emoji3][emoji3][emoji3]imagine hatujuani ila unatema nyingi sipati picha ungekuwa unanijua si ungefunguka sana.
Anyway pole nilicomment kwenye uzi ambao wanatakiwa watu wa aina flani tu ndio wajibu wengine wote ni kamba,tuseme sijasoma huko kama itakufanya ujisikie vizuri [emoji4]
 
Ham

Hamna maajabu yoyote ni kwamba form 1 wana admit vichwa vitupu
 
Kuniambia "I'm so negative" hiyo nayo ni kamba ila mm nimekupata bi.Maya
 
Hiyo kawaida,ni kwa shule zote,hata za Serikali lazima waambiwe kuhusu kuandaa vifaa vya practical.
 
TANZANIA ONE NI MOTOTO WA LECTURE WA THEMES IN AFRICA HISTORY ANAITWA Dr BEATRICE
 
Ngoja nifatilie hapa wanyakyusa wanachangiaje huu uzi...
 
Ngoja nikusaidie kupata one sio issue kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Sawa nakubaliana na wewe kuwa kupata one sio ishu,lkn naomba tu kujua ulipata divisheni Wani ya ngapi?.Km hukupata one Basi uniambie tu ulipata divisheni ngapi??.
 
Sasa mbona wakati anahojiwa na mwananchi alisema hakutegemea kuingia top 10 ila mapenzi ya Mungu.Ama kweli huko alipo baba wa taifa anaona adui wa nne wa taifa ambaye ni unafki.
Hiyo ni lugha tu Mzee,hata km mtu una uhakika na jambo fulani,lkn huwezi kuweka uhakika wa asilimia mia moja.Kwasababu Mwisho wa Siku Mwamuzi ni MUNGU.
 
Anzisha shule yako halafu ufanye kazi hiyo tuone km utafanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…