Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujatukanwa,hapo jamaa amekwambia asante kwa lugha ya kingoniKama Avatar yako inavyojionyesha!
hapo kwenye kijumba cha pembeni ndipo niliposoma nursery school.....them old dayz.....
Kwa wale wakazi wa jiji la Arusha maeneo ya karibu na Hosptali ya Kaloleni basi hili ndilo kanisa lenyewe.
hapo kwenye kijumba cha pembeni ndipo niliposoma nursery school.....them old dayz.....
hivi hiyo nursery bado ipo?...wa kunyumba unamjua dida? alikuwa baunsa wa crystal, khaa naambiwa kajinyonga mie kushoka kabisa, yaani jamaa amenikera japo kashakuwa marehemu,
Kumbe we are skul mates? Mie nilisoma hapo in 1960 kabla sijahamia bhengaz. Source: natalia
sasa ndio mambo gani hayo......huyo sikuwa namfahamu ila hiyo roho ya kujinyonga inachefua sana......wayiii.....
kuhusu nursery sijui kama bado ipo coz sijaona watoto muda sasa.......