Ha ha ha haaa Nyamayao nimejaribu kutafakari akili inanielekeza nyamayao atakuwa mtoto wa mzee fulani mitaa ya Kaloleni !.Anyway Jmosi ukija XL Pub naweza kukutambua ila ngoma itakuwa kumtambua Ngongo ha ha ha ha.
watoto wa mzee kileo? sema unamuhisi nani basi? hahahah,hiyo kutambuana itakuwa ngumu kwa wote au ni ya members so member mpya nitatakiwa niji intro?
Duh Nyamayao kitendawili kimenishinda labda ukitengue mwenyewe.
Namuhisi Pendo nikienda mbele zaidi akili inakataa kabisa unajua kwanini,ninavyomfahamu Pendo hawezi kuwa na muda wa JF.Kuna binti mwingine mdogo anafanyakazi CRDB sidhani kama kashaolewa yupo Dada yao mkubwa ni Mwl jina limenitoka sidhani kama yuko Arusha.Umeona mpaka hapo nimetoka kapa.
unaona sasa......we skuli mate kabisa.....duh.....barafu za kwa bibi utakuwa umekula wewe........ngubiti na mabumunda.......them swit dayz.....
mkuu kama nakufananisha.........hatujawahi kupigana pale mashujaa kweli.......au vile vita na Naura primary kule mtoni umewahi kushiriki....?...kwanza head teacher wako alikuwa nani...? marehemu Anna Swai au Mrs Mwenera......?
Nyie watu inawezekana tunafahamiana. Mie nimesoma Meru Primary School 1976-1982, headmaster wetu alikuwa mhindi Mr Abdallah