ST. Joseph kufanyia biashara mabum ya wanafunzi

Joined
Nov 9, 2014
Posts
20
Reaction score
5
Hawa jamaa wana mtindo mbaya sana, fungu wanalopewa kwa ajili ya wanafunzi wao hufanya biashara zao zizae ndo waanze kuzigawa mambo yakiwaendea ndivyo sivyo wanagawa pesa robo robo hizi tabia za kijinga wanataka watu tuishije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…