mbu, duu nitakoma kwan nawaogopa sana hao jamaa.
Kuna Mbu wengi sana!
maisha ya pale chuoni, reporting day, fee structure etc
uwe makini kitabu cha hapa ni kigumu kidogo,nazani hii ni kutokana na asili ya masomo yenyewe
kuna mitihani=36 per semester
kuna practical za kutosha kila semester
kuna maswali ya mdomo wakati wa mtihani wa practical baada ya kufanya huo mtihani wanakuwa kama wanakufanyia interview(huku tunaita viva voce)
kila somo utafanya assignment 10 per semester@12=120
mengine mengi utayakuta
kwa swala la kitabu usiwe na wasiwasi usitishike na wanaoshinda humu kujitapa eti wapo UDSM wakati ni vilaza wa kutupa tukikutana nao kazini(nina ushahidi wa kutosha)
repotng day iko kwa form ila labda usaidiwe maisha ya pale tu ww kama mwanafunzi,saf sanah kwa kuwaza hili
wako likizo lkn wengine wameshafungua mgomo kama kawaida
mwasambili nimeku-PM mkuu!
m cjui chochote mkuu pia kama kuna m2 anamajina ya hcho chuo aweke niangalie kwa no s2682/0212/2011!
unatakiwa uwe strict na ratiba...utoro hauruhucw cos hufany end exam kama unaattendance below 85%
maswala ya registration yawe on time....
huiingii class nyuma ya mwalimu.....
class ni saa mbili....
Majina ya waliochaguliwa campus zote za st. joseph www.sjuit.ac.tz
Mwambie bwana eti anataka aambiwe hadi fee structure? Badae ataomba na ratiba ya masomo humu
huoo ndo usenge wenywe ---- la mama ko mbwa ww,watu wako serious ww unazingua tenah ---- lako mbwa ww,mamboo ya kisenge hayoo malaya wa baa ww