St. Joseph registration imeanza

nahisi kufungua itakuwa tarehe 29/09/2014
kwa uhakika zaidi jaribi kuja chuoni na nimeku PM namba yangu
 
WATANZANIA HUWA TUNA MOYO WA UPENDO, bt nyie cjui mmerithi roho ya nani? nyie mtakuwa m23 au boko haramu. kama hujui kitu bora utune

Mkuu kwa level ya University inabidi jizoeshe kutafuta information mwenyewe ukizoea kutafuniwa itakuwa shida.Swali ulivyouliza inaonesha hata Web ya chuo hujajishughulisha kufungua
 
UDSM vilaza ww jamaa vip? ninavyojua st joseph ni chuo hat mtu akiwa na division 4 anasoma,mi nilimaiza na jamaa zangu form six wlipiga 4,ila baadye nikasikia wapo st joseph tenna wakawa wanasoma bsc in engineering ,hapo ndipo nilipo kidhaarau hicho chuo kwani ndo chuo nilichosikisik mtu anaweza soma hata akiwa na 4..
 
Chuo cha St Joseph itaanza registration from 2nd to 13th October kwaio wale walopata pale waangalie katika email zao wataletewa guide zitazowafahamisha receipt za kwenda nazo wakat wa registraion
 

Attachments

  • SJCET ENG Page-1.jpg
    496.9 KB · Views: 1,250
  • SJCET ENG Page-2.jpg
    234.3 KB · Views: 1,225
kama untaarifa iliyokamilika iweke humu.
Hao wangine ambao sio wa enginearing wataanza reg. lini?

kuhusu waliokua sio enginering taarifa zao sizijui kwasababu mi nimeletewa ripoti za engineering tu katika email yangu
 
ishu ya migomo kaa nayo mbali,walimu wahindi wana visasi sana kuna kitu kinaitwa break system ni balaa unaweza kusoma digrii miaka 8 badala ya minne
 
Mkuu kwa level ya University inabidi jizoeshe kutafuta information mwenyewe ukizoea kutafuniwa itakuwa shida.Swali ulivyouliza inaonesha hata Web ya chuo hujajishughulisha kufungua

Wengi wetu tunatoka interior,so ni kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…