hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Unakuta mtu ana FEE , katika PCM anaenda kusomea civil au electrical. Hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunzi wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo hawakuforce ilimradi tu
CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .
CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .