mikiray Member Joined Sep 29, 2013 Posts 50 Reaction score 4 Dec 5, 2014 #1 Takiribani wiki mbili sasa wanafunzi wa bse mwaka wa pili st.Joseph dar wamesimamishwa masomo kisa kudai meal and accomodation iliyocheleweshwa mwezi mzima na kuwafanya wanafunzi kuishi maisha magumu sana, NACTE okoa maisha ya wanafunzi hawa.
Takiribani wiki mbili sasa wanafunzi wa bse mwaka wa pili st.Joseph dar wamesimamishwa masomo kisa kudai meal and accomodation iliyocheleweshwa mwezi mzima na kuwafanya wanafunzi kuishi maisha magumu sana, NACTE okoa maisha ya wanafunzi hawa.
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,590 Reaction score 6,355 Dec 5, 2014 #2 Poleni
ESPRESSO COFFEE JF-Expert Member Joined Sep 6, 2014 Posts 6,170 Reaction score 7,665 Dec 6, 2014 #3 Duuuuuu
Erick Richard R-Madrid JF-Expert Member Joined Oct 3, 2014 Posts 399 Reaction score 282 Dec 6, 2014 #4 madogo wameonewa bure, kudai haki yao imekuwa shidaaah!! LOAN BOARD njoo muone upuuz huu
mikiray Member Joined Sep 29, 2013 Posts 50 Reaction score 4 Dec 7, 2014 Thread starter #5 board inaonyesha wanashirikiana na Hawa wahindi
kinya JF-Expert Member Joined Feb 20, 2009 Posts 495 Reaction score 71 Dec 7, 2014 #6 Polen sana madogo komaeni ila mkumbuke pia kuwa chonza cha haya ni nyie kuendelea kuwakumbatia hawa wana wa Escrow..
Polen sana madogo komaeni ila mkumbuke pia kuwa chonza cha haya ni nyie kuendelea kuwakumbatia hawa wana wa Escrow..