St.Kayumba wote tukutane hapa Wazee wa kidumu na Maji

Mkuu Mitale na Midimu shule zote ziko wilaya ya SENGEREMA karumo na Ilekanilo zote ni za mkoloni Ipandikilo ndiyo ilijengwa na utawala wa Nyerere mkuu sitaki kufunguka sana kuhusu mheshimiwa wa Magogoni wanaweza wakaniteka bila sababu za msingi na umri huu si watanitia kilema ila ukweli jamaa alikuwa ni Fighter acha awe hapo alipo alikuwa hana mzaha na biashara yake alikuwa akija anachaguwa samaki wake analipa ole wako uanze mizaha alikuwa anakutukana kwa kilugha chao Bobole do bolekokoya akiwa na maana ujinga tu unakusumbua kwa hiyo usimshangae leo hii kuwakejeri wananchi ndiyo alivyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Maji ya zamani yalikua yabaridi sana mkuu [emoji38][emoji38]
 

Uwiiii my ribs[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]common pombe
 
Tookn't you????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tukunti yuuu?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji36]
 
St kayumba raha san kweli nimeamin wakati haurudi nyuma lait ningeambiwa kitu gani ungependa kijirudie maishan mwangu hakika ningejibu nirudie shule ya msingi ilikuwa rah san
Mh!Kwa kweli nikikumbuka kababu,karimati,ubuyu na mihogo ya kukaanga.Mara mwalimu naye anauza ubuyu na karanga darasani kabla hajaanza kufundisha.Majina ya wapiga kelele yanaandikwa na atakayeandikwa mara mbili anawekewa alama ya X[emoji124] [emoji124] [emoji124].
 
Kuna watu walikuwa wanasifika k2a kusikilizia bakora.Anaweza akapigwa hata kumi halafu anainuka kama alivyoinama bila kusahau wazee wa dabo almaarufu kama kujaradia.Pigwa bakora hata mia lakini wapi...
 
Kuna watu walikuwa wanasifika k2a kusikilizia bakora.Anaweza akapigwa hata kumi halafu anainuka kama alivyoinama bila kusahau wazee wa dabo almaarufu kama kujaradia.Pigwa bakora hata mia lakini wapi...
Nakumbuka kuna jamaa angu o-level alikua kajaradia jeans ndani halafu jeans yenyew ilkua inamtera(pana) ikabd mkanda afungie jeans ya ndan alafu surual ya shule ya juu ikawa haina mkanda,, mwalimu alipokuw akimchap akamuuliz "mbna hujavaa mkanda" jamaa kwa kuchanganykiw na fimbo akamjibu 'mwalimu nimeufungia jeans kwa ndani'……!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilikukuwa na tabia ya kusugua vitunda vya ubuyu chini halafu namgusisha mtu kwenye ngozi,si nikamgusa mtoto wa mwalumu nilibutuliwa ile siku siwezi sahau
 
da mimi nakumbuka darasa la 2 na la 3... tulikuwa tunaimba table ya kwanza hadi ya 12...
Tulikuwa na mkali mmoja huyo he baunsa wa kumalizia, alikuwa anaijua 10×10 tu. Zingine sasa 14×2 ishirini na nane mtasikia tu ile neeeee kwa nguvu zake zoootee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kule kwenye shule zetu za kajamba nani kuna ml wa kiingereza alkiwaga akiingia kipindi hicho tupo darasa la nne ..darasa linabadilika linakua kama hospitali ya watoto kwenye chumba cha sindano ..Mama yule alikuwa anafinya hakuna mfano .. yan vilikuwa ni viliona majonzi kwenye kipindi cha english mtu unamlaani baba kwanini alikupeleka shule
 
Darasa la NNE hilo hilo na Mimi darasani kwetu hali ilikuwa hivo hivyo,mwl alikuwa kabibi kamoja hivi kanavaa miwani. Alikuwa nuksi sana,sharti umpakie mafuta mengi mashavuni Ndio pona yako
 
Darasa la NNE hilo hilo na Mimi darasani kwetu hali ilikuwa hivo hivyo,mwl alikuwa kabibi kamoja hivi kanavaa miwani. Alikuwa nuksi sana,sharti umpakie mafuta mengi mashavuni Ndio pona yako
hahahahaha mkuu wapi kama tulisoma sijui ..yani yeye ni kwenye mashavu tuu anafinya kichiz yan
 
hahahahaha mkuu wapi kama tulisoma sijui ..yani yeye ni kwenye mashavu tuu anafinya kichiz yan
Nina wasiwasi. Umesoma kayumba ipi.? Ipo Karibu na uwanja wa mpira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…