Pierina Vicka
Senior Member
- Mar 18, 2017
- 173
- 290
Nakumbuka nilikua dar
asa la 5 mkuu wa shule aliagiza mbolea ya thamadi mimi nikaleta ya pumba kumbe kulikua kunakukaguliwa kila mtu anashika mfuko wake kwa asie na thamad adhabu yake fimbo na kupukuchua mahindi ya shule...mweeee unapukuchua mpaka vidole vinaota sugu[emoji23][emoji23][emoji23] najivunia St. Kayumba Kwa kunifundisha kazi na Utii.
asa la 5 mkuu wa shule aliagiza mbolea ya thamadi mimi nikaleta ya pumba kumbe kulikua kunakukaguliwa kila mtu anashika mfuko wake kwa asie na thamad adhabu yake fimbo na kupukuchua mahindi ya shule...mweeee unapukuchua mpaka vidole vinaota sugu[emoji23][emoji23][emoji23] najivunia St. Kayumba Kwa kunifundisha kazi na Utii.