St Kitts and Nevis na St Lucia wanatoa Uraia haraka sana na passport zao ni moja zenye nguvu duniani

St Kitts and Nevis na St Lucia wanatoa Uraia haraka sana na passport zao ni moja zenye nguvu duniani

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanaJF!

Nchi ndogo carrebean za St Kitts and Nevis pamoja na St Lucia zinatoa uraia kwa raia wa kigeni pamoja na familia zao za watu wanne kama ukiwekeza dola za kimarekani laki moja. Process haichukui muda mrefu.

Hizi nchi visiwa zinapatikana carrebean na ambazo raia wake hawazidi elfu hamsin.

Passport za Hizi nchi ni moja zenye nguvu duniani ambao unaingia nchi zote za ulaya na Marekani bila visa ama visa in arrival.

St Kitts and Nevis passport yake Unaweza kusafir nchi 160 bila visa. Na St. Lucia unasafir nchi 147 bila visa.

Program hii ya kutoa uraia it aisha January 2021 na imewafanya idadi ya Wanigeria wenye uwezo kuichangamkia kwasababu ni fursa kwao Kwani Passport ya Nigeria ni dhaifu na kila mwaka inakuwa dhaifu.

Wakaazi wa St Kitts and Nevis na St. Lucia ni wa Afrika weusi.

ED71DCBA-4770-4780-B680-0EF19B7C71FB.jpeg
basseterre-st-kitts.jpg
439aa9146b7840e05dc51e3281dfc742.jpg
basseterre-saint-kitts-and-nevis-T60PHC.jpg
 
Inakuwaje wanaJF!

Nchi ndogo carrebean za St Kitts and Nevis pamoja na St Lucia zinatoa uraia kwa raia wa kigeni pamoja na familia zao za watu wanne kama ukiwekeza dola za kimarekani laki moja. Process haichukui muda mrefu.

Hizi nchi visiwa zinapatikana carrebean na ambazo raia wake hawazidi elfu hamsin.

Passport za Hizi nchi ni moja zenye nguvu duniani ambao unaingia nchi zote za ulaya na Marekani bila visa ama visa in arrival.

St Kitts and Nevis passport yake Unaweza kusafir nchi 160 bila visa. Na St. Lucia unasafir nchi 147 bila visa.

Program hii ya kutoa uraia it aisha January 2021 na imewafanya idadi ya Wanigeria wenye uwezo kuichangamkia kwasababu ni fursa kwao Kwani Passport ya Nigeria ni dhaifu na kila mwaka inakuwa dhaifu.

Wakaazi wa St Kitts and Nevis na St. Lucia ni wa Afrika weusi. View attachment 1551152View attachment 1551153View attachment 1551155View attachment 1551156
Chief
Barikiwa sana
Dola za kimarekani laki moja,ni mtaji mzuri sana ......

Hata kama Pass yao inathamani kiasi hicho...!!!

Labda wangeweka Dola Alfu 10 na si laki 1.
 
Inakuwaje wanaJF!

Nchi ndogo carrebean za St Kitts and Nevis pamoja na St Lucia zinatoa uraia kwa raia wa kigeni pamoja na familia zao za watu wanne kama ukiwekeza dola za kimarekani laki moja. Process haichukui muda mrefu.

Hizi nchi visiwa zinapatikana carrebean na ambazo raia wake hawazidi elfu hamsin.

Passport za Hizi nchi ni moja zenye nguvu duniani ambao unaingia nchi zote za ulaya na Marekani bila visa ama visa in arrival.

St Kitts and Nevis passport yake Unaweza kusafir nchi 160 bila visa. Na St. Lucia unasafir nchi 147 bila visa.

Program hii ya kutoa uraia it aisha January 2021 na imewafanya idadi ya Wanigeria wenye uwezo kuichangamkia kwasababu ni fursa kwao Kwani Passport ya Nigeria ni dhaifu na kila mwaka inakuwa dhaifu.

Wakaazi wa St Kitts and Nevis na St. Lucia ni wa Afrika weusi.

Wanazungumza lugha gani???
 
Kama una uwezo wa kutoa dola laki moja kwa ajili ya kupata citizenship ni bora hiyo hela ukaiwekeza kwenye biashara ambayo itakulipa mara mbili zaidi ya hapo.

ideology ya kwenda nje ya afrika ndio kuwin maisha inatakiwa iondolewe katika vichwa vya watu..tuna kila kitu..

sioni haja ya kwenda kuhangaika nchi nyingine wakati unaweza kutusua hapahapa na huko ukawa unaenda kutalii tu..
 
Itakua nimekosea kubadili dola laki moja kuwa Tshs, naombeni mnisaidie hizo dola laki moja ni Tshs ngapi
 
Kama una uwezo wa kutoa dola laki moja kwa ajili ya kupata citizenship ni bora hiyo hela ukaiwekeza kwenye biashara ambayo itakulipa mara mbili zaidi ya hapo.

ideology ya kwenda nje ya afrika ndio kuwin maisha inatakiwa iondolewe katika vichwa vya watu..tuna kila kitu..

sioni haja ya kwenda kuhangaika nchi nyingine wakati unaweza kutusua hapahapa na huko ukawa unaenda kutalii tu..
Kasema dola laki moja unawekeza huko ama kwenye biashara au real estate ndo unapewa uraia, sio dola laki moja kununua uraia
 
Nchi zile ni visiwa vidogo sana hizo dollar unaenda kuwekeza wapi?!

Halafu kama kigezo ni kusafiri, si usafiri tu yani mpaka ukawekeze dollar laki 1, uanze kutafuta uraia, utafute makazi, mpaka u settle uipate hiyo passport, alafu uanze kusafiri hizo nchi 160 duh, ili iweje?!

Swali la kujiuliza, hiyo passport inakusaidia nini zaidi ya kusafiri au unasafiri bure ulipi nauli na gharama za kula na malazi kila uendako?!

Hata haina faida, labda kama wewe ni world fugitive uende kujificha huko.

Kila siku wana kimbunga cha maji, hao Nigerians huko wanatafuta nini, passport tu au kuna kingine?!

Binafsi nilikataa kwenda st. Marten ingawa nilikuwa na girlfriend aliyenishawishi nikagoma. Sikuona sababu ya kwenda huko visiwani.
 
Back
Top Bottom