Kabisa mkuu...Kipindi kile nilishangaa sana kwann shule imeshuka kiasi kile...
Mwakajana walifanya maajabu....Walishika nafasi ya 11 ...
Hivi sister Njau bado ndio head
Shule za vipaji ndo zipi hizo....Mzumbe na kilakala?!
Wewe unaishi dunia ipi?
Unazijua 10 best schools za O level na A level kwa last year?