zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
mkuu ulijuajeSomaa hiyoooooooo,
Yaaani leo ni tatally fiesco, kama siyo 5 beseni basi itakuwa 7 bila, key yuu emuu ei simba nyootee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ulijuajeSomaa hiyoooooooo,
Yaaani leo ni tatally fiesco, kama siyo 5 beseni basi itakuwa 7 bila, key yuu emuu ei simba nyootee
Mkuu u made my nyt... Dah nmecheka mpaka nagalagala 😀😀😀Kuna injinia humu naomba msaada anisomee namba hiyooooo
Vipi zimerudi?Hizo mbili zinaludi sio mda, usiku mwema
Kumiliki mpira kumewasaidiaje kuepua goli 5 mkuu?Simba wanamiliki mpira 54% kwa 46%. lakin goli za chap chap 2 zinauma sana dk 14 na dk 19 Vita wametupiga mabao. Sasa ni kama dak 30 hivi
Ni Tarehe 1 february mkuu sio MarčhNinawakumbusha tarehe 1 March mnaenda Misri, kazi mnayo.
Weka na hiiSomeni hapo tusipigazane makelele yasiyo na msingi [emoji847]View attachment 999625View attachment 999626View attachment 999627
Sent using Jamii Forums mobile app
Mcheza mieleka na ukocha wa mpira wapi na wapiSiku atakapotimuliwa huyu beberu ntafurahi sana, kocha asiyejua tactical know how za mpira wa kazi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ushauri mzuri maana Hii mechi na As vita mlipaki bajajiNashauri Simba akienda Egypt kucheza na Al Alhy wiki ijayo Ni Bora kupaki basi kufungwa chache hizi 5 zisijirudie Ni aibu kwa taifa aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila goli 5 nyingi sana aiseeemkuu sisi tumefungwa na tumeumia but yanga wanataka kujisahaulisha matatizo yao kupitia sisi[emoji23][emoji23]
This is Anda dogiKWANI MANARA ANASEMAJE?
Asante kwa kunirekebisha.Ni Tarehe 1 february mkuu sio Marčh
Mnajifariji kazi unayo na kwa waarabu ukaze kiuno hiyo February 1 Misri ,la sivyo hili la leo la kula kiganya linaweza jirudia au mnaweza mkala wiki Misri.Someni hapo tusipigazane makelele yasiyo na msingi [emoji847]View attachment 999625View attachment 999626View attachment 999627
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh....Daaah pakti ya kwanza ya kondomu ishamalizika jamaa anajiandaa kuchana pakti nyingine[emoji27] [emoji27] [emoji27]
Hii ndo vumbi la KONGO
Nimezipata Mtoto. 😅😅😅😅😅 Hawa jamaa si watu wazuri Wallahi. 😅😅😅
🤣🤣🤣Mtani najua habari zetu mnazo ila zenu tunazoooooo. 🤣🤣🤣Ngoma ya leo itakesha nini?
NAKAZIA NAKAZIA DADA. 😀😀😀Kila la heri mnyama yangu mm
Hivi ulitoka Dada? 🙈🙈🙈Dstv hawaonyeshi yaani inabidi nitoke nikaangalie hata bar
🤣🤣🤣 Nimecheka sana yaani.
Manula anapangua goli la wazi la tatu hapa
Mkuu ile ya jana waliyokumbana nayo ni DHAHAMA. 🤣🤣🤣Vital wanakosa tena goli la wazi tena, beki ya simba inakatika ni hamna