mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
haya tena wapendwa wa jf......habari za masiku teele!!
bwana nakaa nawaza sipati jibu.........la haraka!!maana ni miezi kadhaa kijana nimebahatika kupata kibarua cha mkoani...juu kabisa kaskazini magharibi
ofkoz chuo ckua navaa miwani ya mbao..nikapata binti.tukapendana...kamaliza nayeye kapata kazi nyanda za juu kusinii..
so kuonana apo ni ishu kweli kweli....nimejaribu kuona jinsi ya kumhamishia huku lakini inakua ngumu kutokana na nature y akazi yake na yangu pia..si watu wa kutulia sehemu 1
wapendwa..kwa iyo inamaana baada ya honeymoon kila mtu anakamata begi lake anarudi alipotokea?siamini
hebu nipeni experience zenu wenye distance mariages..nimeanza kuingiwa na waswas maana hata mhusika nae anachukulia poa tu....
bwana nakaa nawaza sipati jibu.........la haraka!!maana ni miezi kadhaa kijana nimebahatika kupata kibarua cha mkoani...juu kabisa kaskazini magharibi
ofkoz chuo ckua navaa miwani ya mbao..nikapata binti.tukapendana...kamaliza nayeye kapata kazi nyanda za juu kusinii..
so kuonana apo ni ishu kweli kweli....nimejaribu kuona jinsi ya kumhamishia huku lakini inakua ngumu kutokana na nature y akazi yake na yangu pia..si watu wa kutulia sehemu 1
wapendwa..kwa iyo inamaana baada ya honeymoon kila mtu anakamata begi lake anarudi alipotokea?siamini
hebu nipeni experience zenu wenye distance mariages..nimeanza kuingiwa na waswas maana hata mhusika nae anachukulia poa tu....
