Staili ya Mwigulu ya kuchora majina yake kwenye mawe na miti kutumika na CHADEMA kumtetea Mbowe

Staili ya Mwigulu ya kuchora majina yake kwenye mawe na miti kutumika na CHADEMA kumtetea Mbowe

Kumekuwa na mkakati mkali wa BAVICHA na BAWACHA kupata fedha na kuwalipa vijana wa vijiweni mikoa yote ili waandike maneno MBOWE si GAIDI kwenye mawe na miti mikubwa mikubwa pembezoni mwa barabara kama alivyofanya Mwigulu wakati akitafuata Urais wa nchi hii mwaka 2015.

Hii mbinu ninaona italeta mfanikio makubwa sana kufikisha ujumbe huo kwani hata watoto wadogo wataelewa na kuamini Mbowe anafanyiwa uonevu.

Rais wangu SSH hebu tafadhali ingilia kati - mwachieni Mbowe hana madhara makubwa akiwa huru kuliko anavyowekwa ndani. Jamani jamani MSIFANYE HIVYO!
Utawala wa kisheria. Rais hapaswi kuingilia uhuru wa mahakama na kumwachia huru gaidi.
 
Kumekuwa na mkakati mkali wa BAVICHA na BAWACHA kupata fedha na kuwalipa vijana wa vijiweni mikoa yote ili waandike maneno MBOWE si GAIDI kwenye mawe na miti mikubwa mikubwa pembezoni mwa barabara kama alivyofanya Mwigulu wakati akitafuata Urais wa nchi hii mwaka 2015.

Hii mbinu ninaona italeta mfanikio makubwa sana kufikisha ujumbe huo kwani hata watoto wadogo wataelewa na kuamini Mbowe anafanyiwa uonevu.

Rais wangu SSH hebu tafadhali ingilia kati - mwachieni Mbowe hana madhara makubwa akiwa huru kuliko anavyowekwa ndani. Jamani jamani MSIFANYE HIVYO!
sikio la kufa
 
Ngoja nitume hela kwenye ila CashApp na Paypal walizotoa vijana wajipatie ajira...

Mama in this kafeli mno,kajipaka matope mwanzo mwisho,na watamsumbua mpaka ajione hovyo kabisa
Tayari mpango huu unatekelezwa kwa kasi na vijiji kila jiwe litakuwa linaandikwa kwa shilingi 3000, wilayani kwenye kuta na miti shilingi 5000 na kwenye Majiji kuta na sehemu zingine zinazowezekana ni shilingi 10,000/-
 
Tutafuta hiyo si kwasababu Sheria na Katiba inasema Mahama haipaswi kuingiliwa na ndiyo yenye mamlaka ya kumsafisha imewahi kufanya hivyo mara kadhaa hata kwa huyohuyo Mtuhumiwa wa Ugaidi.

Ukiwa mtenda mabaya Hata wewe mwenyewe hujijui na ukiambiwa utasema unaonewa ndiyo maana utaratibu ukawekwa na kuipa Mahakama mamlaka ya kumsafisha au kinyume chake.

Lakini kwa macho ya kawaida uwezekano wa kufadhili vitendo vya kigaidi ni mkubwa sana kutokana na kutumia harakati Katika kutekeleza matakwa ya Kisiasa kuanzisha vikundi vya kiulinzi mavazi ya kivita hamasa za chuki, kashfa ubaguzi ILI kuwatisha watu vinaweza kuashiria vitendo vya kigaidi kwa maana ya Ugaidi ni neno linalotokana na terror (kutisha) lililozaa terrorist je, Katika matendo ya huyu jamaa hayaendani na maana ya terror? Hatahivyo tuiachie mahakama itatoa muongozo (Precedent) ILI maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom