Walimfuatilia muda mrefu sana na ameshindwa ku declare vyanzo vyake vya mapato.Wauza unga wengi wa kiafrica ni shida sana.. Wengi hawajui jinsi ya kuisafisha pesa.. Wenyewe wakipata wanafanya matanuzi ya ovyo bila kujali serikali inaweza kuwafatilia chanzo cha pesa zao ni nini..
Inabid sasa ma tycoon watoe elimu kwa mapunda wao jinsi ya kusafisha pesa..
Mbona ni muarabu?Muuza unga aliye ishi kifahari au aliyetoboa kimaisha
Alikuwa hafanyi investments?Walimfuatilia muda mrefu sana na ameshindwa ku declare vyanzo vyake vya mapato.
Tatizo letu ngozi nyeusi ni kupenda sana sifa.Wauza unga wengi wa kiafrica ni shida sana.. Wengi hawajui jinsi ya kuisafisha pesa.. Wenyewe wakipata wanafanya matanuzi ya ovyo bila kujali serikali inaweza kuwafatilia chanzo cha pesa zao ni nini..
Inabid sasa ma tycoon watoe elimu kwa mapunda wao jinsi ya kusafisha pesa..
Alinunua nyumba £1.7m cash Kensington. Hii ni mitaa mfano wa Masaki.Tatizo letu ngozi nyeusi ni kupenda sana sifa.
Huwezi kuvaa suti halafu ukakaa tu home umerelax. Inabidi hata kama huna pa kwenda, ukazurule tu huko ujipitishe pitishe watu wakuone ndio nafsi itulie.
Ukiwa na pesa halafu unatumia tu kwa mahitaji yako, watu watajuaje kuwa unapesa ?
Inabidi mwembwe ziwe nyingi, magari, pesa ili watu wakuone pesa ipo.
Si unaona kina Diamond wanavyojaribu kutangazia dunia jinsi walivyo na pesa?
Ok[emoji106]Anaitwa Aram Shaiban
Hii Kensington iko West London Royal kabisa....jamaa alikuwa ana midola sio ya kitoto[emoji134]Alinunua nyumba £1.7m cash Kensington. Hii ni mitaa mfano wa Masaki.
Amekula miaka 37 jelaHii Kensington iko West London Royal kabisa....jamaa alikuwa ana midola sio ya kitoto[emoji134]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hao huishia pabayaMuuza unga aliye ishi kifahari au aliyetoboa kimaisha
Bora angejimaliza tuAmekula miaka 37 jela
Kuanzia leo na mimi nitakuwa naleta story zangu hapa in very short,clear and little confusing kama dada.Ni nani huyu Dada??