Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo atatoka akiwa na 76?...sio.mbaya sana[emoji848]Amekula miaka 37 jela
Huo muda atakuwa mzee tayari....Hata kama atakaa jela miaka 20 akitoka atakua na miaka 60. Ndiyo unaanza maisha upya.
Sio mbaya....kuliko kufa masikini, bora uonjapo kautajiri kidogo, kufa masikini inauma sana sana[emoji22]Hata kama atakaa jela miaka 20 akitoka atakua na miaka 60. Ndiyo unaanza maisha upya.
[emoji1787][emoji1787][emoji7]Kuanzia leo na mimi nitakuwa naleta story zangu hapa in very short,clear and little confusing kama dada.
Uzuri jela za Ulaya unapewa mwana saikolojia wiki ya kwanza unajiangalia unapenda kitu gani baada ya hapo unachagua mafunzo kutokana na urefu wa kifungo chako. Unaweza kuamua kusoma degree kama una kifungo cha muda mrefu.Huo muda atakuwa mzee tayari....
dunia itakuwa imempita sana
Niambie nchi gani nikauwe ili nifungwe chaap!Uzuri jela za Ulaya unapewa mwa saikolojia wiki ya kwanza unajiangalia unapenda kitu gani baada ya hapo unachagua mafunzo kutokana na urefu wa kifungo chako. Unaweza kukamua kusoma degree kama Ina kifungo cha muda mrefu.
Kuna Mzenj alitoka na ujuzi mzuri wa kujenga, kufunga mabomba na kupaka rangi. Anasema ukifaulu mitihani unaanza kazi. Kuna maofisa wanaotafuta tenda mfano kujenga shule. Asubuhi mnapelekwa na mshahara mnalipwa mwisho wa wiki.
Hahahaha mie naanza kunywa alkasusKuanzia leo na mimi nitakuwa naleta story zangu hapa in very short,clear and little confusing kama dada.
Duh! Scholarship ya bure kabisa! Naruhusiwa kutembelewa na "mwenza"?Uzuri jela za Ulaya unapewa mwana saikolojia wiki ya kwanza unajiangalia unapenda kitu gani baada ya hapo unachagua mafunzo kutokana na urefu wa kifungo chako. Unaweza kuamua kusoma degree kama una kifungo cha muda mrefu.
Kuna Mzenj alitoka na ujuzi mzuri wa kujenga, kufunga mabomba na kupaka rangi. Anasema ukifaulu mitihani unaanza kazi. Kuna maofisa wanaotafuta tenda mfano kujenga shule. Asubuhi mnapelekwa na mshahara mnalipwa mwisho wa wiki.
Aagh wapi, hio ngumu, sitaweza!!Mwenza anaishia canteen tena baada ya kunuswa na mbwa.
Ndio style ya dada yetu. Itabidi umzoee tukwani ungesubiri unywe chai kwanza ndio ulete hii habari unahisi ungepungukiwa na nini?
Hivi ni ngada ama nganda? Wataalam wa misemo ya mtaani msaada hapaK
wa Waarabu hawauzi nganda?