nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Yeye adui yake ni Magufuli amepata watu wachache kwenye ziara analalamikia wapiga picha! Yaani basi tu kajikuta huko pale na blahblah kibao!Huyu mama ni hakuna kitu.
Leo anasema haya kesho anasema vile. Sio wa kumchukulia kwa unaama.
Hajui kuwa hawakumchagua na hawamkubali sababu ya matendo yakeYeye adui yake ni Magufuli amepata watu wachache kwenye ziara analalamikia wapiga picha! Yaani basi tu kajikuta huko pale na blahblah kibao!
Ndio maana aliolewa mke wa tatu kisha akapigwa kibutiHuyu mama ni hakuna kitu.
Leo anasema haya kesho anasema vile. Sio wa kumchukulia kwa unaama.
Kama wewe ni mwanaume basi ni fedheha kwa wote wanaokuhusu.Ndio maana aliolewa mke wa tatu kisha akapigwa kibuti
Wanaishi na maumivu ya mioyo hawataki kwenda na wakati husika.Sukuma gang hamnaa akili ,mmejazana kama nzi humu kuandika ujinga
Watu bila kuwapush hawawezi kuja na matokeo mazuri. Mashirika haya ni lazima yafanye biashara na kuleta faida. La sivyo ni bora viongozi waliopo wajiudhuru au yafutwe.Maana yake hata wale waliotaka kutoa gawio kawakatiza. Watapiga tu hela kama zamani.
RASIMU alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani mjadala uanzie hapo.Leo STAMICO wametoa gawio la 2.2 B kwa serikali.
Juzi Mama yenu alikuwa anaponda Mashirika kuwa yalikuwa yanakopa ili kutoa gawio kwa Serikali.
Sasa naona na yeye anaenda mulemule.
Kukaa na mnafiki ni hatari kwa afya na maisha yako.