Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiulize kwanza STAMICO inafanya biashara gani.Leo STAMICO wametoa gawio la 2.2 B kwa serikali.
Juzi Mama yenu alikuwa anaponda Mashirika kuwa yalikuwa yanakopa ili kutoa gawio kwa Serikali.
Sasa naona na yeye anaenda mulemule.
Kukaa na mnafiki ni hatari kwa afya na maisha yako.
Watetezi wa mwenda _zake mnapata taabu Sana...Leo STAMICO wametoa gawio la 2.2 B kwa serikali.
Juzi Mama yenu alikuwa anaponda Mashirika kuwa yalikuwa yanakopa ili kutoa gawio kwa Serikali.
Sasa naona na yeye anaenda mulemule.
Kukaa na mnafiki ni hatari kwa afya na maisha yako.
Na bado wanazeeka kwa kasi.Watetezi wa mwenda _zake mnapata taabu Sana...
Nendeni mkalitizame na hilo🤣🤣🤣Nasikia wame sign mkataba WA kuvuna Makaa ya mawe Kwa Tani tzs 69,000/- Ilihali kwenye soko ni tzs 240,000/- Hilo gawio ni dhihaka
Ni kweli kabisaMaana yake hata wale waliotaka kutoa gawio kawakatiza. Watapiga tu hela kama zamani.