gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
"Zaidi kuwataja kina Geez,Babuu,Kala,na Mansulii kuwa wasanii bora wa hiphop,tena kwa miaka 10 ijayo imedhihirisha wewe ni mbumbumbu wa hiphop!Hata FidQ na Jmoe hawawezi freestyling,nguzo muhimu ya kuwa MC wa ukweli"
hapa ndio ambapo nakuunga mkono kwa 50% then 50% yangu nyingine nabaki nayo,
50% hii chukua ya kuwa na mshangao wa kama mimi kwa wasanii kama babuu wa kitaa, geez mabovu, kala na mansuli kuwekwa kwenye wasanii bora,
nadhani mapenzi binafsi yamemgusa mtoa thread, maana hao aliowataja ukiwasimamisha na hiki kizazi cha watoto wa juzi kina one the incredible, nick mbishi n.k hawawezi kugusa moto wao,
50% ambayo nabaki nayo ni ya wewe kupinga fid q na jmo wasiwe best hiphop kisa hawajui freestyle, nadhani kaka hapa umepitiwa kidogo,
labda cjui freestyle gani ambayo unaisema wewe,
unapotaja 10 bora ya hiphop artist hauwezi ukaacha haya majina, hata ukipewa 5 bora bado yatakuwepo.
hapa ndio ambapo nakuunga mkono kwa 50% then 50% yangu nyingine nabaki nayo,
50% hii chukua ya kuwa na mshangao wa kama mimi kwa wasanii kama babuu wa kitaa, geez mabovu, kala na mansuli kuwekwa kwenye wasanii bora,
nadhani mapenzi binafsi yamemgusa mtoa thread, maana hao aliowataja ukiwasimamisha na hiki kizazi cha watoto wa juzi kina one the incredible, nick mbishi n.k hawawezi kugusa moto wao,
50% ambayo nabaki nayo ni ya wewe kupinga fid q na jmo wasiwe best hiphop kisa hawajui freestyle, nadhani kaka hapa umepitiwa kidogo,
labda cjui freestyle gani ambayo unaisema wewe,
unapotaja 10 bora ya hiphop artist hauwezi ukaacha haya majina, hata ukipewa 5 bora bado yatakuwepo.