Aman peaceful
Member
- Mar 2, 2018
- 89
- 63
Wakuu..
Hata kama mpira una Matokeo matatu yaani: Kushinda, kudroo na vilevile kufungwa; Lakin kwa walichokifanya Stand Taifa jana ni Hatari kwa Afya zetu WanaSimba katika Mbio za Ubingwa!
Stand Mmetutoa Chambo! Mungu Anawaona!..
Hata kama mpira una Matokeo matatu yaani: Kushinda, kudroo na vilevile kufungwa; Lakin kwa walichokifanya Stand Taifa jana ni Hatari kwa Afya zetu WanaSimba katika Mbio za Ubingwa!
Stand Mmetutoa Chambo! Mungu Anawaona!..