Ingekuwa mdomo ndio unacheza mngekuwa mmeshakabidhiwa ndoo ya TPL wakuu!Timu ya Simba sc imepania kuiadabisha Stand United kwa kinachoelezwa ni FURAHA iliyotokana kupatikana kwa boss wa timu hiyo Mo hivyo watalazimika kumpoza na kumfariji kwa ushindi mnonoooo. Wakati huohuoSimba wataiadhibu vikali Stand kwakuwa mpk sasa watekaji wa Mo hawajaonekana. Time will tell
Kwani Mkuu.. Simba SC ana mpinzani?? Ni suala la mda tu, Mnyama atakabidhiwa kombe lake.Ingekuwa mdomo ndio unacheza mngekuwa mmeshakabidhiwa ndoo ya TPL wakuu!
Mkuu Sembo chelewa chelewa mwisho utakuta Mwana si wako!!!Kwani Mkuu.. Simba SC ana mpinzani?? Ni suala la mda tu, Mnyama atakabidhiwa kombe lake.
Ndo mana msimu huu shughuli tunamaliza mapema kama msimu uliopita.Mkuu Sembo chelewa chelewa mwisho utakuta Mwana si wako!!!
Tell itNdo mana msimu huu shughuli tunamaliza mapema kama msimu uliopita.
Tunajua mpira sio mdomoniIngekuwa mdomo ndio unacheza mngekuwa mmeshakabidhiwa ndoo ya TPL wakuu!
Unawakumbuka mbao?Kwani Mkuu.. Simba SC ana mpinzani?? Ni suala la mda tu, Mnyama atakabidhiwa kombe lake.
Ninyi mmekutana mara ngapi na takwimu za kukutana kwenu zinasemaje!!!!!?Unawakumbuka mbao?
Unaelewa unachouliza?Ninyi mmekutana mara ngapi na takwimu za kukutana kwenu zinasemaje!!!!!?
Tuanzie hapo kwanza
fungwa ndio nanyi mlipokutana ilikuwaje!!!??Unaelewa unachouliza?