Stand up comedians hamuwezi kuchekesha bila kutania dini/imani za watu?

Stand up comedians hamuwezi kuchekesha bila kutania dini/imani za watu?

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Najaribu kuangalia Sanaa ya uchekeshaji jinsi inavyopata umaarufu, ni kitu kizuri sana ila sasa binafsi nakwazika namna ambavyo dini ama imani fulani zinavyotumika katika kuchekesha na mbaya zaidi ni kwamba dini inayotumika ni moja sijui kwa nini hawatumii ile dini nyingine kwanza ni kinyume cha sheria Blasphemy wachekeshaji msitumie dini tafadhali tumieni hata siasa na vitu vingine naomba kuwasilisha
 
Hii trend nimeiona sana kwa wachekeshaji wa bongo, Kuna show moja nilikua napenda kwenda ilikuwa inahostiwa pale ukumbi wa PSSSF complex kila mwisho wa mwezi sitaitaja jina. Nilipoteza interests za kwenda because of this issue ni kama wanaishiwaga agenda wanaona wachokoe imani za watu.
 
Najaribu kuangalia Sanaa ya uchekeshaji jinsi inavyopata umaarufu, ni kitu kizuri sana ila sasa binafsi nakwazika namna ambavyo dini ama imani fulani zinavyotumika katika kuchekesha na mbaya zaidi ni kwamba dini inayotumika ni moja sijui kwa nini hawatumii ile dini nyingine kwanza ni kinyume cha sheria Blasphemy wachekeshaji msitumie dini tafadhali tumieni hata siasa na vitu vingine naomba kuwasilisha
Mkuu wakitumia siasa wanaogopa kutekwa
 
Hivi Eyce huku bongo hatuna cancel culture?

Kwa jinsi mainfluencer wanavyoongezeka inabidi tuwe nayo

mashambenga yatakuwa mengi
 
Siasa na Dini ndizo zinatengeneza content nzuri zaidi za comedy. Tatizo wafia dini wengi ni akili ndogo.
 
Back
Top Bottom