Stand up comedy: Kenya kuna Eric Omondi, Uganda kuna Kansiime na Bongo kuna nani?

huyu mwingine anatoka Africa kusini

 
Mpoki anaweza sema haaminiki mda wowote anaweza kuropoka ujinga wa kuwaudhi watu
 
Mpoki yupo safi sana hata masanja.....Mic pilipili mjanja mjanja ....Huyu idris kuna stand up comedy nliiona kiukweli hii gani haimfai
 
Kwaio anachofanya kansiime ni stand up comedy ile?
 
Reactions: MC7
Kwaio anachofanya kansiime ni stand up comedy ile?
 
Duh hatari sana UOTE="desiigner, post: 17964724, member: 237616"]Idris anauwezo wa kuchekesha mademu.[/QUOTE]
Du
 
huyu mwingine anatoka Africa kusini

That's trevor noah..namkubali sana. Jamaa ana host kipindi flani cha comedy central kinaitwa the daily show. Nimeshangaa na idris nae kaanzisha kipindi chake kama hiki uko youtube, kinaitwa mtazamo.
Well idris, am sorry to say this "you're not funny at all".
 
Kuna jamaa mwingine anaitwa john Olivier japo sio mwafrika ila ana kipindi kama cha trevoh Noah kinaitwa "last week tonight" nafkiri idris alitaka kuwaiga hawa watu wawili.
 
Kuna jamaa mwingine anaitwa john Olivier japo sio mwafrika ila ana kipindi kama cha trevoh Noah kinaitwa "last week tonight" nafkiri idris alitaka kuwaiga hawa watu wawili.
Kuna kingine kinaitwa late night: a closer look ana host jamaa anaitwa seth meyers. Hawa ndo comedians aisee
 
Mbona mara nyingi anavaa kama babu kizee?
Ni kweli lakini ila stand up comedian wakali hawaitaji mavazi au muonekano yamchekeshe mtu
Wakina kevin hart , chriss rock , bracketmouth na ay wanavaa suti au t shirt na jinsi jukwaani na wanakuchekesha vizuri kabisa wala hawatumii nguvu nyingi ya kuact babu au mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…