Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Hebu waziri wa fedha tuonyeshe sankoro kidogo"erick how to be magufuli[emoji23][emoji23]
erick ni jipu
Sidhani kama anafanya stand up comedyBinafsi huwa namkubari sana huyu jamaa anaitwa Senga namuona kama bonge la comedian aisee
Kumbe aliiga!?kwenye ubunifu wa Tz zero kabisa, wanasahau kuwa dunia ya leo ya teknolojia huwezi kumuiga Kevin Hart kila kitu halafu utegemee kuvutia maana hakuna atakaeona kipya ambacho hawajakiona tayari kwenye Youtube. Kuna video ya waarabu ili trend hivi karibuni ya mchunga mbuzi kuita majina mbuzi wako zizini, hata wiki haikupita Joti nae kasambaza ya kwake ambayo amecopy A to Z and that's as far as being creative goes for us.
Idris kipindi cha mtazamo wala hakichekeshi jamaa sio comedian.Kuna jamaa mwingine anaitwa john Olivier japo sio mwafrika ila ana kipindi kama cha trevoh Noah kinaitwa "last week tonight" nafkiri idris alitaka kuwaiga hawa watu wawili.
Veeeere True aisee we jaribu kuangalia Wakenya kweny Comedy Drama yao inaitwa The real Househelps of Kawangware On DSTV Chanel 158 or on YouTubeHakuna wa kuwafikia
Hata Evans nani sijui alijaribu akapwaya, na Idrissi akaishia kwenye mahaba ya kutafuta kiki kuliko kutumia kipaji chake kujiendeleza na alifahamika nchi nyingi Africa.
Tabu hawatuli kujiendelezakuna ujuzi wanakosa, watanzania wengi na ni wavivu kutaka kujifunza.