Mie nafanya stand up comedy
Nina jokes nyingi sana ila sijapata wa kunisapoti
Ni kijana wa chuo mwaka wa kwanza
Kama unataka kunizamini kamwe utojutia
Nizamini nina uwezo ila nafasi sijapata
Nilifanya siku moja tuu chuoni ndipo nikaona kweli Nina kitu created kwangu
Nahitaji wa kunishika mkono ili tufurahie
Nipo serious
Najifunza kila siku
Nipo na creativity mpya
Please kama unataka kufanya biashara hii njoo unisapoti mdogo wako
Nina imani hautojuta kunisapoti
Nitawazidi wote hata walionitangulia
Naomba ujaribu siku moja kwenye part yeyote nifanye hata bure uone
Nikikosea niache
Niite hata bure nitafanya stand up comedy
Utaipenda hakika
Nipo na vitu vingi naona kama nachelewa vile
Sina mzamini
.Asante.
Sent using
Jamii Forums mobile app