Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa.
1. Ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari na wanakupa tiket.
2. Ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiket ya bus. sasa mimi kwa mfano, nimekuja na mwanafamilia nikiendesha gari yangu, nafika getini nalipa na kupewa tiket, kwasababu nasafiri namwachia dogo gari airudishe home, kuingia kwa abiria nalipishwa tena, wakati mkononi nina tiketi ya gari niliyokuja nayo na tiketi ya basi ninalosafiri nalo, unanilipishaje sasa?
HOJA; sijaona hoja ya msingi kwanini nikiwa tayari nina tiketi nilipishwe tena kuingia kwa abiria wakati stand yenyewe imejengwa kwa pesa zetu sisi walipakodi. hiyo hela wanakata kwa kuingia tu (hata kama nina tiketi) inaelekea wapi? au inaenda hazina, au halmashauri, au wapi? Kufanyia nini?
Ingekuwa stand haijaboreshwa tungesema wanataka kuboreshea stand, ila tayari imeshajengwa na mle ndani wanachukua kodi kwa wapangaji na kwa magasi yote yanayoingia usiku na mchana na hadi vyoo walalipisha, sasa mimi abiria ambaye nilishakata tiket naenda tu pale kupanda basi wanakata hela yangu kwa justifications gani? Au stand zote zipo hivyo? Hela wanayokata ni ndogo lakini nachelea kusema kwamba kuna raia wa hali ya chini wanaweza kuona ni mzigo, tulidhani hii stand imejengwa kwa pesa zetu itumike kama huduma/service. isijekuwa wanakata pesa zetu hizo wanatia mfukoni, mwenye kujua hili atufafanulie.
1. Ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari na wanakupa tiket.
2. Ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiket ya bus. sasa mimi kwa mfano, nimekuja na mwanafamilia nikiendesha gari yangu, nafika getini nalipa na kupewa tiket, kwasababu nasafiri namwachia dogo gari airudishe home, kuingia kwa abiria nalipishwa tena, wakati mkononi nina tiketi ya gari niliyokuja nayo na tiketi ya basi ninalosafiri nalo, unanilipishaje sasa?
HOJA; sijaona hoja ya msingi kwanini nikiwa tayari nina tiketi nilipishwe tena kuingia kwa abiria wakati stand yenyewe imejengwa kwa pesa zetu sisi walipakodi. hiyo hela wanakata kwa kuingia tu (hata kama nina tiketi) inaelekea wapi? au inaenda hazina, au halmashauri, au wapi? Kufanyia nini?
Ingekuwa stand haijaboreshwa tungesema wanataka kuboreshea stand, ila tayari imeshajengwa na mle ndani wanachukua kodi kwa wapangaji na kwa magasi yote yanayoingia usiku na mchana na hadi vyoo walalipisha, sasa mimi abiria ambaye nilishakata tiket naenda tu pale kupanda basi wanakata hela yangu kwa justifications gani? Au stand zote zipo hivyo? Hela wanayokata ni ndogo lakini nachelea kusema kwamba kuna raia wa hali ya chini wanaweza kuona ni mzigo, tulidhani hii stand imejengwa kwa pesa zetu itumike kama huduma/service. isijekuwa wanakata pesa zetu hizo wanatia mfukoni, mwenye kujua hili atufafanulie.