Diamond alisikika akijinadi kuwa alimnunulia Hamisa Mobetto gari aina ya RAV4!! Hii inashangaza! kweli star kama Domo ni Wa kumununulia Demu Ki Rav4 harafu ujigambe mbele ya watu?
unamshusha viwango Hamissa
Ukubwa au udogo wa zawadi inategemea na anayepewa....Diamond alisikika akijinadi kuwa alimnunulia Hamisa Mobetto gari aina ya RAV4!! Hii inashangaza! kweli star kama Domo ni Wa kumununulia Demu Ki Rav4 harafu ujigambe mbele ya watu?
unamshusha viwango Hamissa
Ukubwa au udogo wa zawadi inategemea na anayepewa....
Leo hii wewe kumpa RAV4 Ebitoke ni kubwa sana ukilinganisha na hiyo hiyo RAV4 kumpa Zari
Kwa Hamisa kupewa RAV4 ni sawa tu
JIULIZE...Kumbuka Hamissa naye ni Star, na mbali ya ustar pia ni mama watoto wake, sasa kwa MTU kama Dojo anayetamba kuwa ana mapesa iweje atoe ki Rav4?
Diih rav 4 nayo haitoshi.? Kwa ukubwa gani alonao Hamisa.? 70000 kila siku bado akapewa mil 7 bado rav 4 juu.. Sijui ulitaka apeleke matako yake ndio ujue alijitoa sana.?
KWELI JAMAA KAZNGUA. AMEJIDHIHIRISHA USWAHLI WAKE
Akikujibu nishtueHaya tueleze wewe uliemnunulia demu wako hata baiskeli..
Ana viwango gani wakati akili kichwani hamna, to be a real woman is more than possessing only a v'Diamond alisikika akijinadi kuwa alimnunulia Hamisa Mobetto gari aina ya RAV4!! Hii inashangaza! kweli star kama Domo ni Wa kumununulia Demu Ki Rav4 harafu ujigambe mbele ya watu?
unamshusha viwango Hamissa