Star Lulu atoa salamu za mwaka mpya

Ningependa hiyo sehemu nyeupe kwenye picha ake iwe avatar yangu mpya. mambo ya kindege kudonoadonoa hewa haipo kwenye fasheni ya J F.Nifanyeje?
 
aka kabinti kananipa hamu ya kuwowa wajameni uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
Nani anakabanjua haka katoto? naona kameshatangaza biashara.......kanaonekana kanafaafaa!!

"Mwaka 2011 ulikuwa wa misukosuko hasa baada ya kutimiza miaka 18, I am grown up and have my own life, I wish to do more in movies and have loads of fans and here is my new look...."
 
Nenda kasome lulu,sanaa kwa umri kama wako c nzur kwan muda hu ulstahl uwe unapiga kitabu,educaton first
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…