Star mkubwa Marekani (Safaree) ajuta kuingia kwenye ndoa

Fumbokhan

Member
Joined
Jan 16, 2021
Posts
6
Reaction score
23
Safaree mwanamuziki maarufu wa hip hop Marekani ameibuka kusema kuwa moja ya makosa makubwa aliyowahi kuyafanya katika maisha yake ni kuingia kwenye ndoa, amesema haitatokea yeye kuoa tena na kwasasa ameamua kuchukua njia yake kabla hajaishia jela

Safaree alimuoa mrembo Erica Mena pichani mwishoni mwa 2019 na wamepata mtoto mmoja

Kabla, Safaree aliwahi kuwa kwenye mahusiano na Nicki Minaj kwa miaka kadhaa


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…