Star time

Davies_007

Member
Joined
Apr 22, 2010
Posts
59
Reaction score
0
zile chanel ambazo nilikuwa nazipata kwenye star times kwa kuningiza namba 698 zimepotea uchakachuaji uko vipi hapo?
 
Pole!
Tumeshagundua janja yenu, hamtaweza tena!
 
bora mngeziacha coz michanel yote ya star time ni mibaya afadhari ya TING kidogo inavutia,
 
michanel Mibovu, movie za kizamani ule ni wizi na ufisadi Mtupu, kama wewe ni Mdau wa STAR TIME naomba nikwambie dikoda zenu tunazitupa mtaangalia wenyewe, ule ni wizi
 
zile chanel ambazo nilikuwa nazipata kwenye star times kwa kuningiza namba 698 zimepotea uchakachuaji uko vipi hapo?

mkuu zikijisearch outomatic zinafuta zile inabidi usearch manual utazipata bila shida na ss hivi aitoi tena ile erro
 
michanel Mibovu, movie za kizamani ule ni wizi na ufisadi Mtupu, kama wewe ni Mdau wa STAR TIME naomba nikwambie dikoda zenu tunazitupa mtaangalia wenyewe, ule ni wizi

achana na zile chanel zao tumia zile chanel za kuchakachua zipo nyingi kuliko za kwao yani raha tu ucpogundua utaichukia
 
bora mngeziacha coz michanel yote ya star time ni mibaya afadhari ya TING kidogo inavutia,

ni kweli ila ukiangalia zile chanel za kuchakachua zipo nzuri kibao kuliko ata ting
 
Mkubwa naomba namba za kuchakachua nitumie kwny pm hawa majamaa wasiione.
 
Mkubwa naomba namba za kuchakachua nitumie kwny pm hawa majamaa wasiione.

wala ucjali 530, zingine utazipata pale unaposachi outmatc utaziona zinakili alafu search manual
 
Mkubwa naomba namba za kuchakachua nitumie kwny pm hawa majamaa wasiione.

wala ucjali 530, zingine utazipata pale unaposachi outmatc utaziona zinakili alafu search manual
 
Nimejaribu Kuingiza Namba zimekataa nipe tips za Kuchakachua mkuu
 
inaamana ting ndo haichakachuliki wajamen tupeane maujanja please nchi ishauzwa hii
 
dah ting sasa hivi bomba kinooma nakula dubai sports1 ni bundesliga wikiendi yote ss hivi navyoandika kuna game kali ya hannovover fc na fc cologne LIVE hannover tayari keshatunguliwa kimoja. kuna kbc1 ya kenya champions league live wanaonesha wrestling wwe kuna ajazeera channel ten eatv itv ghana tv ni movie kwa kwenda mbele. uki search all chanel automatic kwenye ting wapata chanelckm 75 hivi uganda UBC citizen ya kenya kbc1 za kichina km sita hivi movies na news kuna action tv movies dubai sports 1&2 channels za uarabuni lkn za movies tu km nne hivi ikiwamo na mbc yaani mpaka TVZ ya kina yakheee inaonekana
 
michanel Mibovu, movie za kizamani ule ni wizi na ufisadi Mtupu, kama wewe ni Mdau wa STAR TIME naomba nikwambie dikoda zenu tunazitupa mtaangalia wenyewe, ule ni wizi

babake hayo mamuvi ya kilongi sisi wengini wajameni tunayamaindi kinoma , kama ya makauboi, mamuvi ya kina klint istiwudi na mengine mengi ya longi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…