Star time

Star time

topic za nyuma nan ana huo mda?kama una link weka bana au post tutorial upya...vng'amuz vyao vinaota kutu hku kama vnachakachulika 2saidien na cc hayo maujafanja!
 
Samahani jamani nina decoda ya silver crest kuna m2 anaujuzi na hii?
 
Inakuwaje mbona kama itv na eatv hazitoi sauti?
 
jamani mi nasearch hii ya 530 sipati kitu...Nipeni mwongozo zaidi jamani
 
jama hii itv na Eatv munaipata kwenye king'amuzi au??.Nipe mwongozo jinsi kuzipata hizo
 
Weka 698 utapata eatv bt sauti hakuna.
 
cjui mkitoa hayo maelezo mtakufa! Haya weken hyo link bac.
 
Tupeane maujanja jinsi ya kuzipata hizo chanels.
dah ting sasa hivi bomba kinooma nakula dubai sports1 ni bundesliga wikiendi yote ss hivi navyoandika kuna game kali ya hannovover fc na fc cologne LIVE hannover tayari keshatunguliwa kimoja. kuna kbc1 ya kenya champions league live wanaonesha wrestling wwe kuna ajazeera channel ten eatv itv ghana tv ni movie kwa kwenda mbele. uki search all chanel automatic kwenye ting wapata chanelckm 75 hivi uganda UBC citizen ya kenya kbc1 za kichina km sita hivi movies na news kuna action tv movies dubai sports 1&2 channels za uarabuni lkn za movies tu km nne hivi ikiwamo na mbc yaani mpaka TVZ ya kina yakheee inaonekana
 
Inakuwaje mbona kama itv na eatv hazitoi sauti?

Sijui kama ulikuwa unajua au hujui, katika kila channel, kuna sauti yake, so jaribu kutumia remoti ya king'amuzi kuongeza sauti katika channel hizo, na kama umelipia ITV inapatikata katika frequence mbili, moja ni bure na nyingine ya kulipia na imewekewa alama $, so isiyo na alama inatoa sauti kama nyingine.
Sijui kama nimeweza kukusaidia mkuu...😎!
 
kitu kimekubali we ni mkali. Aliyeanzisia aifute hii thread wataiona bure. Thanks all

Waswahili bwana, umepata bure unataka kuwabania wenzio!! Mpende jirani yako zaidi ya UNAVYOJIPENDA, Lol!
 
Back
Top Bottom