Star time

topic za nyuma nan ana huo mda?kama una link weka bana au post tutorial upya...vng'amuz vyao vinaota kutu hku kama vnachakachulika 2saidien na cc hayo maujafanja!
 
Samahani jamani nina decoda ya silver crest kuna m2 anaujuzi na hii?
 
Inakuwaje mbona kama itv na eatv hazitoi sauti?
 
jamani mi nasearch hii ya 530 sipati kitu...Nipeni mwongozo zaidi jamani
 
jama hii itv na Eatv munaipata kwenye king'amuzi au??.Nipe mwongozo jinsi kuzipata hizo
 
Weka 698 utapata eatv bt sauti hakuna.
 
Tuambieni basi hayo maujanja ya kuweka hizo chanel za ziada
 
cjui mkitoa hayo maelezo mtakufa! Haya weken hyo link bac.
 
Tupeane maujanja jinsi ya kuzipata hizo chanels.
 
Inakuwaje mbona kama itv na eatv hazitoi sauti?

Sijui kama ulikuwa unajua au hujui, katika kila channel, kuna sauti yake, so jaribu kutumia remoti ya king'amuzi kuongeza sauti katika channel hizo, na kama umelipia ITV inapatikata katika frequence mbili, moja ni bure na nyingine ya kulipia na imewekewa alama $, so isiyo na alama inatoa sauti kama nyingine.
Sijui kama nimeweza kukusaidia mkuu...😎!
 
Asante ngoja nikafanye hvyo.
 
kitu kimekubali we ni mkali. Aliyeanzisia aifute hii thread wataiona bure. Thanks all

Waswahili bwana, umepata bure unataka kuwabania wenzio!! Mpende jirani yako zaidi ya UNAVYOJIPENDA, Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…