Star times ndio king'amuzi chenye watumiaji wengi nchini

Star times ndio king'amuzi chenye watumiaji wengi nchini

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Hii ni kwa mujibu wa TCRA.
5018683A-7F6C-49E1-8852-76953E953AE3.jpeg
 
Sta times,


Halafu waweke radio za Tz,wengine kichina hatuelewi,
 
Huyo Agape atakua na waumini wake tu...

Anyway naona maendeleo ama kweli Tanzania ya mama Samia ina ng'ara ng'ara maana kuwa na raia 3M plus wenye TV ni maendeleo.
Siyo kweli kuna watu kwenye kaya yake ana ving'amuzi 2...
 
Back
Top Bottom