Uchaguzi 2020 Star TV hamvitendei haki Vyama vya Upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Star TV hamvitendei haki Vyama vya Upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mmiliki wa Star Tv Anthony Dialo anaipendelea CCM akilenga kukumbukwa kuteuliwa kwenye uteuzi wa viti 10 maalum vya ubunge
Kwa akili zako ndogo ulitaka aipendelee chadema ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
MKUU MI NAHISI WATU WANACHANGANYA MAMBO, STAR TV WALE WANARUSHA MIKUTANO NAHISI KWA KULIPWA NA SIO BURE
Au kama ni bure basi hawafanyi vizuri

..masuala ya KITAIFA kama uchaguzi mkuu yanatakiwa yatangazwe bila malipo.
 
Kuelekea uchaguzi mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya Tv za hapa nyumbani nakushangazwa na kituo cha television cha Star tv cha jijini Mwanza kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaaa!!
Vyombo vya habari kama hivi ni vya kuvionea huruma, havina tofauti na wanaccm wanaovaa nguo za kijani kwasababu ya matumbo yao.
 
Kuelekea uchaguzi mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya Tv za hapa nyumbani nakushangazwa na kituo cha television cha Star tv cha jijini Mwanza kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaaa!!
Star TV ni Mali ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM ambaye ana Mwenyekiti wake wa Chama wa Taifa ambaye ni Mgombea wa nafasi muhimu ya maamuzi kwa hiyo maagizo toka juu lazima yafuate mkondo wake.
 
Back
Top Bottom