Kwa akili zako ndogo ulitaka aipendelee chadema πππππππMmiliki wa Star Tv Anthony Dialo anaipendelea CCM akilenga kukumbukwa kuteuliwa kwenye uteuzi wa viti 10 maalum vya ubunge
Asante akili kubwa!!@Kwa akili zako ndogo ulitaka aipendelee chadema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuu hatari kubwaAlikuwa anaweza kujifunza ila amechelewa ndiyo maana hana watangazaji wamemkimbia, unakuta mtangazaji mmoja anarudia vipindi zaidi ya vitani (5) kwa siku.
Watavuna wanachopanda
MKUU MI NAHISI WATU WANACHANGANYA MAMBO, STAR TV WALE WANARUSHA MIKUTANO NAHISI KWA KULIPWA NA SIO BURE
Au kama ni bure basi hawafanyi vizuri
Vyombo vya habari kama hivi ni vya kuvionea huruma, havina tofauti na wanaccm wanaovaa nguo za kijani kwasababu ya matumbo yao.Kuelekea uchaguzi mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya Tv za hapa nyumbani nakushangazwa na kituo cha television cha Star tv cha jijini Mwanza kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaaa!!
Star TV ni Mali ya Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM ambaye ana Mwenyekiti wake wa Chama wa Taifa ambaye ni Mgombea wa nafasi muhimu ya maamuzi kwa hiyo maagizo toka juu lazima yafuate mkondo wake.Kuelekea uchaguzi mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya Tv za hapa nyumbani nakushangazwa na kituo cha television cha Star tv cha jijini Mwanza kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaaa!!
Nadhani ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa MwanzaView attachment 1608160
Anaitwa Anthony Mwandu Diallo, mwanachama wa CCM na mmiliki vituo kadhaa vya redio na television ikiwemo StarTV
Nadhani ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza
Ni shidah!!