Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavuwa, kiukweli Dr. Abbas yuko vizuri, baada ya Dr, Waziri wa Habari, Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe pia ataalikwa na kisha Naibu Waziri, Mhe. Juliana Shonza pia wataalikwa.
P
Ndio maana yake. Mwanza, Shinyanga, Simiyu,Kwa hiyo Mayalla unataka kusema Kuna makabila (wasukuma) kwao mafua sio ugongwa ndio maana Magufuli akaenda kulala kwenye majabali sio?
Asante Mkuu Alex Fredrick, CNN ni shirika la kibeberu, hivyo Tanzania inaonekana kama nchi ya kijamaa, hivyo wako Kenya na Uganda.Paskali kwanini Tanzania hakuna mwakilishi wa CNN?Hii nafasi ilikuwa inakufaa sana wewe,fanya mpango uwasiliane nao uwe Mwakilishi wa CNN Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maswali haya, nimemfikishia, utajibiwa next week during the same program.Asante kwa Taarifa,
Naomba umuulize mpaka sasa serikali inauwezo wa kupima watu wangapi kwa siku na mpaka jana wapimwa watu wangapi nchi nzima.?
Hao wanaoumwa familia zao zimefuatiliwa kujua kama hawajaambukizwa.?
Inaonekana wanaotoka nje wengi wanatoroka kwenye karantini kwa ushiriki wa karibu na polisi, na wengine hawapiti kabisa.
Sababu haiwezekeni mtu ametoka nje na passport yake inashilikiwa jeshi la polisi aweze kutoka kirahisi.?
Hili nimemuuliza, Dr. Abbas akajibu sii kweli kuwa serikali inachukulia poa, serikali iko very serious ndio maana imefunga shule zote na vyuo vyote.Muulize, serikali inaonekana kuchukulia poa ugonjwa huu, je inaamini ugonjwa hautuathiri kivile kwa kuwa Kuna tetesi ulikuwepo tangu disemba mwaka Jana na watu wanapona wenyewe?
Kwa uwezo wa Mungu tutakuwa wote bila shaka.Asante kwa maswali haya, nimemfikishia, utajibiwa next week during the same program.
P
Mwambie apunguze vitisho na lugha ya kidikteta, unapowaambia wananchi wakivunja sheria ama taratibu watakumbana na Mkono wa Chuma hiyo siyo lugha nzuri kwa Taifa linalojinasibu kuheshimu Katiba na taratibu za nchi.Asante kwa maswali haya, nimemfikishia, utajibiwa next week during the same program.
P
Kule kustaafu vipi kaka..!?Wanabodi
Wale wenye nafasi, fuatilieni Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho kiko Live on Star TV. Kipindi cha leo, Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, Anazungumzia Wajibu wa Vyombo Vya Habari Kwenye Kuripoti Janga la Ugonjwa wa Corona.
Kipindi kinaongozwa na Nguli Dotto Emmanuel Bulendo kutokea Mwanza, Dr. Hassan Abbas atazungumza kutokea Dodoma, na kwa upande wa Dar es Salaam, nitakuwepo mimi.
Kipindi hiki ni interactive, wana jf wenye hoja muhimu za kumuuliza Dr. Abbas, unaoweza kuuliza humu na mimi nikamuuliza.
Karibuni sana.
Paskali
Ilikuwa nistaafu baada ya kumpata Polepole kabla ya saa 4:00 asubuhi. Muda huo ulipita, hivyo bado nipo nipo huku nikiendelea kumsaka Polepole, nikimpata ananiandikisha CCM, ananipa kadi yangu, kisha humu tunaagana.Kule kustaafu vipi kaka..!?
Tunaendelea nae next week, nitamfikishia, ila duh...!, kumbe mkono wa chuma ndio zile pyu pyu!, kwa hivyo usikute hata yuke naniihii waliye mpyu pyu kule nanihii wanaweza kuwa ni hawa hawa?!.Mwambie apunguze vitisho na lugha ya kidikteta, unapowaambia wananchi wakivunja sheria ama taratibu watakumbana na Mkono wa Chuma hiyo siyo lugha nzuri kwa Taifa linalojinasibu kuheshimu Katiba na taratibu za nchi.
Katika tafsiri ya kawaida Mkono wa Chuma ni bunduki...
InshAllah, Amen, Mungu ni mwema.Kwa uwezo wa Mungu tutakuwa wote bila shaka.
Hili nitampelekeaJe...Serikali inaliona hili janga kama linachafua hali ya kisiasa Tanzania?
Je...Inawezekana kusitisha na kusogeza mbele kwa hata kwa miezi kadhaa Uchaguzi mkuu?
Mkono wa chuma vs Corona!Mwambie apunguze vitisho na lugha ya kidikteta, unapowaambia wananchi wakivunja sheria ama taratibu watakumbana na Mkono wa Chuma hiyo siyo lugha nzuri kwa Taifa linalojinasibu kuheshimu Katiba na taratibu za nchi.
Katika tafsiri ya kawaida Mkono wa Chuma ni bunduki...
Ni wananchi wangapi wanaomiliki tv Tanzania.Hii ni njia sahihi ya kuwafikishia ujumbe jamii ya watanzania?Kwanza huyo Dr mm sijawahi sikia aliongea huko awali au naye ni Kiki za Corona?maphd wa tz ni was ajabu ni Bora ukamsikiliza std seven utamwelewa.wafuatilieni kauli zaoWanabodi
Wale wenye nafasi, fuatilieni Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho kiko Live on Star TV. Kipindi cha leo, Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, Anazungumzia Wajibu wa Vyombo Vya Habari Kwenye Kuripoti Janga la Ugonjwa wa Corona.
Kipindi kinaongozwa na Nguli Dotto Emmanuel Bulendo kutokea Mwanza, Dr. Hassan Abbas atazungumza kutokea Dodoma, na kwa upande wa Dar es Salaam, nitakuwepo mimi.
Kipindi hiki ni interactive, wana jf wenye hoja muhimu za kumuuliza Dr. Abbas, unaoweza kuuliza humu na mimi nikamuuliza.
Karibuni sana.
Paskali
Juliana anajua nini? Yeye anaongea kama nani??!Duh...!. Wakudadavua ni mkaka, tena ni mkubwa kwangu, ndio maana namuita Kaka Mkubwa Wakudadavua. Tena kwenye jibu langu kwa kwenye post ya Kaka Mkubwa Wakudadavuwa, akimsifia Dr. Abbas, sio umeona nimemweza kuwa sitaishia kwa Dr. Abbas pekee, kuna siku tutamwalika Waziri wa Habari Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe na Naibu Waziri, mwana jf mwenzetu, Mhe. Juliana Shonza.
P
- Ni wananchi wangapi wanaomiliki tv Tanzania.
- Hii ni njia sahihi ya kuwafikishia ujumbe jamii ya watanzania?
- Kwanza huyo Dr mm sijawahi sikia aliongea huko awali au naye ni Kiki za Corona?
- maphd wa tz ni was ajabu ni Bora ukamsikiliza std seven utamwelewa.wafuatilieni kauli zao
Yani mnaalika wanasiasa badala ya kualika wataamam wa afya watoe elimu ya korona? Only in tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Mayalla unataka kusema Kuna makabila (wasukuma) kwao mafua sio ugongwa ndio maana Magufuli akaenda kulala kwenye majabali sio?